Man United Yamalizana na Amorim Mpaka 2027
Makala iliyopita
Manchester City Yaendelea Kuandamwa na Wimbi la Majeruhi
Makala ijayo
Amorim: Man United ndio Chaguo Langu
Taarifa zinaeleza kocha huyo ataanza majukumu yake rasmi ndani ya klabu hiyo baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa mwezi Novemba, Huku mpaka sasa timu ikiwa chini ya kocha Ruud Van Nistelrooy ambaye ataiongoza timu hiyo kwenye michezo minne ambayo ni dhidi ya Leicester City kwenye Carabao ikiwa umeshachezwa, Chelsea, PAOK, na Leicester City kwenye ligi kuu ya Uingereza.