Andreas Pereira Kurejea Hispania!

Kiungo wa kati wa Brazil Andreas Pereira amekuwa njia ya mafanikio ya kipekee kama mwanasoka, akiwakilisha vilabu viwili vikubwa zaidi nchini Uingereza na Brazil, Pereira pia aliwahi kuwa Valencia na Granada siku za nyuma.

Msimu huu uliopita Pereira amekuwa kwa mkopo huko Flamengo nchini Brazil. Alikuwa na msimu mzuri huko Rio de Janeiro lakini alifanya kosa kwenye Copa Libertadores lililosababisha upinzani mkubwa dhidi ya Pereira.

Ilifikiriwa kuwa mkataba wake wa mkopo ungefanywa kuwa wa kudumu kwa takriban pauni milioni 10, lakini kwa sasa baadhdi wanaona kama Flamengo wanaweza wasifurahie tena kutumia kiasi hicho kwa nyota huyo. Kuna uwezekano mdogo wa kurejea Manchester United pia.

Kwa mujibu wa ESPN, vilabu vya Uhispania na Uholanzi vimepewa taarifa kuhusu maendeleo haya. Pereira hakuwahi kucheza mara kwa mara huko Valencia lakini alipata nafasi ya kuanza dhidi ya Granada, ambapo alijulikana kwa magoli yake ya masafa marefu.


3500 NI YAKO UKIJIUNGA TU MERIDIANBET!

Una nafasi ya kupata bonasi ya shilingi 3500 kwa ajili ya kuanza safari yako ya kasino ya mtandaoni ya Meridianbet.

Kubeti Poa - Bonasi Kubwa

Jisajili sasa

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.