Arsenal Bado Wanampambania Merino
Makala iliyopita
Real Madrid Dhidi ya Atalanta leo Uefa Super Cup
Makala ijayo
AWESU AWESU NA SIMBA NI KAMA PICHA LA KIZUNGU
Kiungo Mikel Merino inaelezwa anataka kucheza kwa washika mitutu hao wa London hivo kwa kiwango kikubwa klabu hiyo chini ya kocha Mikel Arteta wanaamini kwa kiwango kikubwa wanaweza kupata saini ya kiungo huyo wa kimataifa wa Hispania ambaye amefanya vizuri ndani ya klabu ya Real Sociedad.