Real Madrid Dhidi ya Atalanta leo Uefa Super Cup
Makala iliyopita
Sancho Kutumika na Man United Kumpata Ugarte
Makala ijayo
Arsenal Bado Wanampambania Merino
Atalanta chini ya kocha Gian Piero Gasperini ambao walitwaa taji la Europa league mbele ya Bayern Leverkusen ambayo haikua imefungwa mchezo hata mmoja, Leo watajaribu kuisimamisha Madrid kwenye mchezo wa Uefa Super Cup kazi ambayo mara ya mwisho ilifanywa na Atletico Madrid 2018.