Sancho Kutumika na Man United Kumpata Ugarte
Makala iliyopita
Bruno Fernandes Asaini Kandarasi Mpya ndani ya Man United
Makala ijayo
Real Madrid Dhidi ya Atalanta leo Uefa Super Cup
Kwakua klabu ya PSG ilionesha nia ya kumuhitaji winga Jadon Sancho inaelezwa Man United wanataka kuitumia hiyo nafasi kuwashawishi PSG kumuachia Ugarte kwa mabadilishano na winga huyo wa kimataifa wa Ungereza ambaye klabu hiyo ipo tayari kumuachia katika dirisha hili la majira ya joto.