Bruno Fernandes Asaini Kandarasi Mpya ndani ya Man United
Makala iliyopita
Camavinga Nje Wiki Saba
Makala ijayo
Sancho Kutumika na Man United Kumpata Ugarte
Kiungo huyo wa kimataifa wa Ureno ameonesha kiwango cha hali ya juu sana ndani ya Manchester United tangu ajiunge na timu hiyo mwezi Januari mwaka 2021, Hii imesababisha benchi la ufundi pamoja na mabosi wa klabu hiyo kuhitaji kuendelea kupata huduma ya kiungo hiyo kwa muda mrefu zaidi.