Timu ya Arsenal Imeendeleza Rekodi mbaya wakiwa katika uwanja wa nyumbani baada ya jana kukubali kipigo cha magoli 2-1 dhidi ya Wolves pale Emirates.
Wolves walikuwa wa kwanza kuandikisha ushindi dakika ya 27 ya mchezo, kwa goli safi lililowekwa wavuni na Pedro Neto kabla ya beki wa Arsenal Gabriel kusawazisha dakika tatu baadae.

Daniel Podence aliwahakikishia Mbweha hao ushindi baada ya kuongeza msumari wa pili dakika tatu kabla ya mapumziko na kupelekea mchezo huo kumalizika 2-1 mpaka kipyenga cha mwisho.
Arsenal sasa imepoteza michezo 3 mfululizo ya Ligi nyumbani, mara mbili tu tangu mwaka 1977 yote katika miezi 12 iliyopita (disemba 2019 na Oktoba-Novemba 2020).
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!



Lydia Emmanuel Magoti
Arsenal wajipange Sasa wanapo elekea watazidi kuwa namatoke mabovu
Adelta
Kwa sasa kikosi Cha Arsenal kinabidi kipangwe upya
Fatuma kasomo
Duh noma
Rahma
Atali
Dorophina
Arsenal msimu huu wanayumba sana
Issa
The gunnes wanyela
Hopemwaikuka
Mmekwama wap arsenal mbona mnaboronga sana
Magdalena
Arsenal hawana jipya
Tatu
Arsenal wa sassa sio ile ya zani
Tahiya
Sijui wanakwama wapi
warda
Hawa Arsenal huwa siwaelewagi mambo yao kama Man U
Chiku
Arsenal jipange upya