Arsenal Waendeleza Rekodi Mbovu Emirates.


Timu ya Arsenal Imeendeleza Rekodi mbaya wakiwa katika uwanja wa nyumbani baada ya jana kukubali kipigo cha magoli 2-1 dhidi ya Wolves pale Emirates.

Wolves walikuwa wa kwanza kuandikisha ushindi dakika ya 27 ya mchezo, kwa goli safi lililowekwa wavuni na Pedro Neto kabla ya beki wa Arsenal Gabriel kusawazisha dakika tatu baadae.

 

Daniel Podence aliwahakikishia Mbweha hao ushindi baada ya kuongeza msumari wa pili dakika tatu kabla ya mapumziko na kupelekea mchezo huo kumalizika 2-1 mpaka kipyenga cha mwisho.

Arsenal sasa imepoteza michezo 3 mfululizo ya Ligi nyumbani, mara mbili tu tangu mwaka 1977 yote katika miezi 12 iliyopita (disemba 2019 na Oktoba-Novemba 2020).


FURAHIA MUZIKI MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

INGIA MCHEZONI

12 Komentara

    Arsenal wajipange Sasa wanapo elekea watazidi kuwa namatoke mabovu

    Jibu

    Kwa sasa kikosi Cha Arsenal kinabidi kipangwe upya

    Jibu

    Duh noma

    Jibu

    Atali

    Jibu

    Arsenal msimu huu wanayumba sana

    Jibu

    The gunnes wanyela

    Jibu

    Mmekwama wap arsenal mbona mnaboronga sana

    Jibu

    Arsenal hawana jipya

    Jibu

    Arsenal wa sassa sio ile ya zani

    Jibu

    Sijui wanakwama wapi

    Jibu

    Hawa Arsenal huwa siwaelewagi mambo yao kama Man U

    Jibu

    Arsenal jipange upya

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.