Arsenal Wanawatema Wangapi Januari?

Klabu ya Arsenal inaripotiwa kuwa na mpango wa kuwatema wachezaji sio chini ya sita kwenye dirisha la uhamisho la mwezi Januari.

The Gunners wamajitahidi kurejea kwenye fomu kwenye wiki za hivi karibyni wakiwa chini ya Mikel Arteta na wanatarajia kufanya biashara kubwa msimu wa joto.

Kwa mujibu wa Footbal London, Alexander Lacazette na Bernd Leno ni miungoni mwa wacheza ambao Arsenal wanapanga kuachana nao, licha ya Alexander kupambana kurejea kwenye kikosi cha kwanza klabuni hapo.

Arsenal Wanawatema Wangapi Januari?
Eddie Nketiah -Arsenal

Wachezaji kadhaa mikataba yao inaisha msimu ujao wa joto, na Washika bunduki wanataka kukusanya ada zao za uhamisho kabla ya kuwapoteza kama wachezaji huru msimu wa joto 2022.

Ripoti zinataja kuwa Eddie Nketia, Sead Kolasinac, Mohamed Elneny na Folarin Balogun pia wanaweza kuondoka. Wote watatu mikataba yao inaisha mwisho wa msimu, wakati mkataba wa Leno ukiisha 2023.


NJIA RAHISI YA MKWANJA NA TITAN DICE

Unawezaje kuikosa hii! njia rahisi ya kutengeneza mkwanja katika kasino maridhawa za meridianbet. Muda wa kufurahia na kutengeneza mkwanja ipo mikononi mwako unasubiri nini?

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA SASA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.