Arteta: Amtaka David Luiz Abaki Arsena!

 

Kocha mkuu wa timu ya Arsenal Mikel Arteta amesema angependa kumbakisha David Luiz katika kikosi cha timu hiyo licha ya kuwa kandarasi itafika tamati  mwishoni mwa msimu.

Arteta anamtaka beki huyo wa zamani wa klabu ya Chelsea David Luiz kusalia Emirates, amekuwa akiwasukuma wachezaji wenzake  imekua ikisaidia kuwaunganisha kucheza kitimu na kuzingatia  mchezo.

David Luiz mwenye umri wa miaka 33 anacheza katika safu ya ulinzi amekua na umuhimu katika kikosi cha washika mitutu hao.

 

 

“Nina furaha sana kuwa na David Luiz katika timu, nataka abaki nasi amekuwa akinihamasisha ni mtu muhimu katika timu yetu” alisema Arteta.

Mbrazaili huyo alihamia katika timu ya Arsenal akitokea kunako klabu ya Chelsea mwaka uliyopita, tayari amesha ichezea Arsenal mechi 32 kwa msimu huu.

Arsenal watakuwa na kibarua kigumu dhidi ya Manchester City siku ya Jumatano ambapo City watawakaribisha Arsenal, katika dimba la  Etihad kwa mchezo wa ligi kuu ya Uingereza.

Mpema siku hiyo hiyo ya jumatano Aston Villa wata wakaribisha Sheffield United katika uwanja wao wa nyumbani, Villa wana hitaji kupata matokeo ili kujinusuru katika mstari wa kushuka daraja

Arsenal wapo nafasi ya tisa katika msimamo wa ligi ya EPL wakiwa tayari wamecheza mechi 28 na kujikusanyia alama 40. Walipoteza kwa goli 2-3 katika mchezo wao wa kirafiki waliyocheza dhidi ya Brentford.

 

44 Komentara

    Arteta nikocha mzuri kwa arsenal pia nikocha mchezaji hivyo bhasi kwa uwezo aliekuwa nao David luiz kwenye safuu ya ulinzi ipo juu kwa arsenal na hakuna kama yeye pale arsenal pia anahamasisha timu akuna asiemjua David luiz maana kakipiga sana club ya chelsea

    Jibu

    Luiz ni beki bora sana abaki hapo

    Jibu

    David Luiz akibaki arsenal itapendeza zaidi

    Jibu

    maneno matupu hayasaidii kama unamtaka mwongezee mkataba na si maneno

    Jibu

    Luiz abakie tu the gunners zaidie kikosi

    Jibu

    Luiz ni mchezaji mahiri sana

    Jibu

    Ilo ni jembe wamuongeze mkataba abaki tyu

    Jibu

    Luiz umri umeenda na hajatengeneza chemistry nzuri, back-line mbovu inavuja. Wacha aondoka tu na Arteta atafute mbadala#meridianbettz

    Jibu

    Abaki atulie acheze mpira

    Jibu

    Hakika ni mchezaji mzuri mpeni mkataba wa kudumu#meridianbettz

    Jibu

    yeye mwnyw ana maamuzi yake binafsi akitaka kuondoka arteta huwezi mzuia kwa chochote

    Jibu

    Luiz ni mchezaji mzuri wa mpira

    Jibu

    Ni mchezaji mzuri

    Jibu

    Luiz yupo vizuri Ni bora angebaki arsenal bado wenzie wanamuhitaji

    Jibu

    Huyo mshikaji umri umeshaenda

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Abaki tu asernal itakuwa poa sana

    Jibu

    Luiz kashajichokea atatoa maboko huyu

    Jibu

    Arteta yupo sahihi unabidi luiz abaki adhiririshe ubora wake kama alivyokuwa Chelsea zama hizo

    Jibu

    Bado anafaa kwa kiwango chake maana hawana pesa za kumnunua beki mwingine

    Jibu

    Yuko vizur abaki tu

    Jibu

    Hapo ndipo panapomfaa hivyo basi.aendelee kubakia hapo hapo asiyumbe

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Luiz ni mchezaji mzl sana#meridianbettz

    Jibu

    Kwa upande wa arteta yuko sahihi kwa alichokiongea maana bek huyu yuko vzur ila nae anauhuru wa kuchagua

    Jibu

    Abaki tuu

    Jibu

    Yote kheri

    Jibu

    Yote kheri

    Jibu

    Beki kisiki! Bado ni mchezaji muhimu#meridianbettz

    Jibu

    Mimi naona aende tu huko ureno, kwa namna moja au nyingine amekuwa ndio sababu ya magoli mengi wanyofungwa arsenal

    Jibu

    David Luiz abaki tu

    Jibu

    Kwa umri alio nao luiz unakimbilia kustaafa bila chochote cha kukumbuka kama anataka kufanikiwa aondoke arsenal na wala asiende Chelsea aende timu nyingine kubwa akapate mbinu zaidi ya mafanikio

    Jibu

    Abak tu

    Jibu

    Luiz abaki kwa kpnd hk kigumu thnks meridian bet kwa update

    Jibu

    Arteta yuko sahihi kwa umr aliokua nao Ruiz ni Bora akamalizie career yake the gurnars

    Jibu

    Bora abaki tu kwasababu arsenal bado wanamuitaji

    Jibu

    Arteta yuko sahihi kwa sasa Luiz bdo anahitajika kwa Arsenal

    Jibu

    Nadhani ateta kaona kuna umuhimu wa kufanya kazi na Ruiz

    Jibu

    Beki mzuri.

    Jibu

    Luiz mchezaji mahiri

    Jibu

    Nichezaji mnzur sana

    Jibu

    Yupo vizuri anajua

    Jibu

    Yupo vizuri.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.