Arsenal,Partey Wafungua Mazungumzo.

Arsenal imefungua mazungumzo na Atletico Madrid kwa ajili ya kumsajili kiungo wao Thomas Partey, kwa mujibu wa Sky Sports Italia.

Inaaminika Arsenal wametoa chini ya kiasi cha euro million 45 ambayo ni thamani ya mkataba wa Partey. Atletico madrid wameonyesha hawako tayari kumuachia kiungo huyo kwa pesa iliyo chini ya ule wa mkataba wake.

Klabu hiyo ya hispania inaamini mchezaji huyo ataondoka katika uwanja wa Wanda Metropolitano majira haya ya kiangazi na ameonyesha nia ya kukipiga katika klabu ya Arsenal.

Tayari Atletico madrid wameanza kutafuta mbadala wa Partey,inasemekana wameulizia upatikanaji wa Idrissu Baba majira haya ya kiangazi katika klabu ya Mallorca.

Partey alisaini mkataba na Atletico madrid mwaka 2011 na kuingia katika kikosi cha kwanza mwaka 2015, toka hapo amefanikiwa kucheza michezo takribani 250 katika kikosi cha kwanza na kuwa moja ya wachezaji wa kutegemewa wa kocha Diego Simione.

Kiungo huyo jumba wa ghana amefanikiwa kufunga magoli 3 na kutoa pasi za magoli 41 katika mashindano yote msimu huu.Amekua kiungo mkabaji bora ambapo amesaidia timu yake iliyo ruhusu kufungwa magoli 24 tu katika liigi kuu ya Uhispania.

Inasemekana Arsenal wanataka kumtumia Alexander Lacazette au Matteo Guendouzi kuelekea upande wa pili ili waweze kumpata Thomas Partey.

Kocha mkuu wa arsenal Mikel Arteta anamwangalia Partey kama msaada mkubwa katika safu yake ya ulinzi na inategemewa watarudi na ofa kubwa kwaajili ya kumnasa kiungo huyo.

 

43 Komentara

    Ni vizuri kama wameka na kuzungumza ili timu isonge mbele#meridianbett

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa arsenal

    Jibu

    habari njema kwa mashabiki wa arsenal

    Jibu

    Arsenal kila kiungo mnataka kumsajili nyinyi tu loh kwamba ndo kiwango chenu kitapanda

    Jibu

    Hope ataleta manufaa kwenye safu yake ya ulinzi

    Jibu

    Ni vizuri kikubwa makubaliano tu

    Jibu

    Ni habari njema Sana kwa mashabiki wa arsenal

    Jibu

    Wakubaliane wamchukue dogo yuko vzr htr

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki

    Jibu

    Habari njema kwasisi mashabiki

    Jibu

    Ni vizur sio mbaya

    Jibu

    Partey ni msaada mkubwaaa kwenye safu ya ulinzi

    Jibu

    gud news

    Jibu

    Ni jambo jema kinachotakiwa makubaliano tuu

    Jibu

    Safii sana ndenda ukawaonyeshe wachezaji wa arsenal njia ya kupita

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Ni vizuri sana ili mradi makubaliano yaende sawa kijana afanye maajabu

    Jibu

    Hii ni habari njema kwa mashabiki wa Arsenal#meridianbettz

    Jibu

    Itakua vizuri sana arsenal bado kwa upande wa usajili wanatakiwa wasijili majembe kama hayo ili timu yao ipande viwango imeshuka sana

    Jibu

    Kwa upande wangu Sina shaka kabisa na kiungo hiyo Thomas partey kwan tunatambua uwezo wake wa mpira Alizaliwa huko Odumase Krobo, Thomas alikuwa Mchezaji wa klabu ya Odometah FC ya vijana. Baadaye alisaini mkataba na klabu ya Atlético Madrid mwaka 2011.Tarehe 10 Machi 2013, Thomas aliitwa katika kikosi cha kwanza cha Atlético Madrid katika mechi dhidi ya Real Sociedad.
    Mnamo tarehe 12 Julai, Thomas alisajiliwa katika klabu ya kwa RCD Mallorca kwa mkopo, Mnamo 18 Agosti alicheza mechi yake ya kwanza,ambayo walifungwa goli 4-0 dhidi ya CE Sabadell FC
    Tarehe 27 Julai 2014 Thomas alijiunga na La Liga huko Hispania katika klabu ya UD Almería. Alicheza mechi ya kwanza katika mashindano 23 Agosti mechi dhidi ya RCD Espanyol na kutoka sare ya goli 1-1.
    Atletico Madrid
    Alichezea timu yake ya kwanza kwa mara nyingine Atletico tarehe 28 Novemba 2015, katika mechi ambayo walipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Espanyol.
    Mnamo 2 Januari mwaka uliofuata aliisaidia klabu yake katika mechi dhidi ya Levante UD. Mnamo tarehe 28 Mei, Thomas alicheza katika Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA dhidi ya Real Madrid.
    Hivyo n mchezaji mzur sana

    Jibu

    Tatizo pesa yao arsenal ndogo wabaili sana mchawi hela watoe hela wamnase kiungo huyo

    Jibu

    Thomas partey ni bonge La kiungo arsenal wakimaliza makubaliano nae na kutua kwa washika bunduki hao watakua wamesaji jembe na mpambanaji ndo utakua msimu ambao wamefanya deal zuri

    Jibu

    Nadhani Partey atawasaidia sana Arsenal

    Jibu

    Huyu Jamaa Ni Bonge La kiungo#Meridianbettz

    Jibu

    Habar njema sana

    Jibu

    Arsenal inabidi wafanye ushawishi mkubwa kwa simeone kumtwaa kiungo huyo ambae

    Jibu

    Tunategemea atakua na mchango kwa Arsenal

    Jibu

    Thomas Partey anaweza kuwasaidia Arsenal sehemu ya kiungo. Wanatakiwa kusajiri Mabeki#meridianbettz

    Jibu

    Ni matumaini yetu mashabiki kuwa ataleta mabadiliko

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Thomas jeshi,anakaba hadi kivuli.

    Jibu

    Kikubwa makubaliano tu

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Arsenal waongeze pesa wapate vitu vizr ila ni utamaduni wao kununua wachezaj kwa pesa ndogo sana kwa sasa dunia imebadilika kama wanataka kuijenga arsenal iwe tishio basi wafungue mzigo wa kutosha kwenye usajili sio ubahili wao

    Jibu

    Watoe pesa ili kojana aungane nao awapatie makombe

    Jibu

    Ni habar njema kwa mashabik wa gunners Kama watafikiah makubaliano

    Jibu

    Kikubwa makubaliano tu

    Jibu

    Kikubwa masikilizano

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa arsenal

    Jibu

    Arsenal ivunje bank

    Jibu

    Goodnews kwa mashabiki wa arsenal

    Jibu

    Maoni:Arsenal waache uchumi watoe pesa wafikie makubaliano

    Jibu

    Habari njema Sana kwa mashabiki

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.