Taarifa zilizotoka jioni hii ni kua klabu ya Simba imefikia makubaliano na klabu ya KMC kuhakikisha wanapata saini ya mchezaji huyo fundi ambaye amewahi kupita klabu ya Azam Fc, Hivo vilabu vyote viwili vimekaa mezani na kufikia muafaka na sasa rasmi kiungo huyo ni mali ya wekundu wa msimbazi.