Azam FC imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Prince Dube, tukimsajili kutoka Highlanders FC ya huko.
Dube ambaye ni mmoja ya washambuliaji hatari Zimbabwe, akiwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya nchi hiyo cha wachezaji wa ndani, anakuja Azam FC kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji.

Benchi la ufundi la Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Aristica Cioaba, limeridhishwa kwa kiasi kikubwa na uwezo wake kwa muda wote waliomfuatilia hadi kuamua kumsajili.
Huo unakuwa usajili wa saba kwenye kikosi cha Azam FC, katika dirisha hili la usajili kwa ajili ya msimu ujao, wengine wakiwa ni kipa David Kissu, beki wa kushoto Emmanuel Charles, kiungo mkabaji Ally Niyonzima, viungo washambuliaji Awesu Awesu, Ismail Aziz na Ayoub Lyanga.

Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


Dorophina
Azam wamempata mchezaji mzuri sana
Sauda
Hongera Azam kwa kupata jembe
Zeiyana
Alakati zote hizi za usajiri wa azamu hinatia hamasa kwa mashiki wao naona kwa mbali wainampango wa kuirudisha azamu fc ile ya zamani
aisha
Big up kwa azam kapata mchezaji mzuri na pia anajua mpira
Flomena
Huo unakuwa usajili wa saba kwenye kikosi cha Azam FC, katika dirisha hili la usajili kwa ajili ya msimu ujao, wengine wakiwa ni kipa David Kissu, beki wa kushoto Emmanuel Charles, kiungo mkabaji Ally Niyonzima, viungo washambuliaji Awesu Awesu, Ismail Aziz na Ayoub Lyanga.
magdalena
azam wamefanya usajili mzuri sana maana inasemekana wachezaji kutoka katika nchi za nje wamekuwa wakifanya vizuri zaidi kwahiyo nina imani dupe atakuwa na mchango mkubwa sana pale azam fc
Ernest
Ligi msimu ujao itakuwa na ushindani sana, Nafurahi kuona Azam wakijipanga kivingine zaidi
Saupha mohamed
Azam sasa wanajipanga vixuri
Tatu
Azam wanazidi kupanda chati kwenye usajili wao
Caroline
Dube ni mshambuliaji hatari
Ester jackson
Azamu wameramba karata joka sasa tusubiri kuona itakuwaje
felister
nimefurahi kuona azam wakijipanga vizuri zaidi msimu ujao
Lydia Emmanuel Magoti
Azam wamepata chuma kipo vizuri
Venerose
Hongereni sana Azam
Shan
Pongezi ziende kwa uwongozi wa azam.
Salma ngende
Hongera azam
Neema
Azam nao ni hatareee
Gabriel
Prince Dube ninaiman nae sana yuko vzur sana azam usajil wao uko vzur
Furahav
Azam kweli wanaitaji ubingwa msimu ujao.
Hope mwaikuka
Anafaaa tu
Fatuma kasomo
Safi azam
Sabrina
Azam wamelamba dumee
Theonestina
Hongera azam
Shafii
Pongezi za dhati kwa uwongozi wa azam fc.
Povel
Habar njema kwa mashabik wa matajir wa jiji la dar es salaam kila la kheri dude
Janeflora malisa
Good
Khadija
Azam wamepata mchezaji mzuli sana
Mwajumah
Ongera azam kwa kupata jembe
Fatina mfingi
Hongeren azam
David Pere
Prince Dube ninaiman nae sana yuko vzur sana azam usajil wao uko vizuri sanaa
Omary lukumbi
Safi sana azam
Sadick
Kwa usajiri huo Azam inataka kurejea nafasi ya ushindani ktk Ligi kuu ya Vodacom nchini#meridianbettz
Devotha
Safi
warda
Mmmm dude wala hajui