AZIZ KI AFUNGUKA KWANINI HAKWENDA KAIZER CHIEF'S
Makala iliyopita
Brighton Kumuachia Undav
Makala ijayo
TANZANITE DAY YA FOUNTAIN GATE YAPAMBA MOTO
“Rais wa Yanga (Hersi Said ) alikuja kuniona Berkane, nilikuwa nacheza dhidi ya RS Berkane Morocco (2021), baadaye wakaja kwa familia Yangu kuongea na mimi mbele ya familia yangu. Kwangu mimii niliona ni zaidi ya heshima. Unanitaka mimi nipigie simu, sema Aziz Ki nina ofa hii kwa ajili yako. Wao walikuja nyumbani”