Mshambuliaji wa Real Madrid Karimu Benzema ameifungia klabu yake goli la 1000 kwenye michuano ya klabu abubingwa barani Ulaya kwenye mchezo waliowakaribisha Shakhtar Donetsk kwenye dimba la Santiago Bernabeu.
Real Madrid ilikuwa inashika nafasi ya pili kwenye kundi, huku kundi hilo likiongozwa na Sheriff, inter akiwa nashia nafasi ya tatu huku shakhtar akiwa anashika mkia kabla ya mchezo wao kuanza.

Madrid walingia wakiwa na hali ya kujiamini baada ya kumuogesha mvua ya magoli Shakhtar kwao mapema mwezi huu ya goli 5-0 nchini Ukraine
Madrid walijihakikishia goli lao la 1000 mapema ndani ya dakika 14 baada ya Vinicius kufanikiwa kushinda mpira na kuwapa wakati mgumu kabla ya kutoa pasi na Benzema kuweka kwenye nyavu dakika ya 39 Shakhtar walifanikiwa kupata goli kupitia kwa Fernando huku tena benzema dakika ya 61 benzema akifunga goli la pili.
Mkwanja umetema ndani ya kasino za meridianbettz, Mchezo maridhawa wa Aurora Beast Hunter unakupa nafasi sawa ya ushindi leo hii, kila mzunguko una nafasi ya kuibuka mshindi, na mkwanja wako unaupata kila mzunguko utakapo kamilika.


