Branthwaite Aingia Kwenye Rada za Man United
Makala iliyopita
De Zerbi Akaribia Kutua Marseille
Makala ijayo
Hummels Aondoka Dortmund

Klabu ya Manchester United wanaelezwa wataendelea kupambana kuhakikisha wanampata Branthwaite ambaye wanamuwinda kwa karibu zaidi, Lakini wakishindwa kumpata beki huyo bado wana mchaguo mengi ambapo anatajwa beki Jean Clair Todibo anayekipiga klabu ya OGC Nice na Leny Yoro anayekipiga klabu ya Lille.