Branthwaite Aingia Kwenye Rada za Man United

Branthwaite ni moja ya mabeki watatu wanaofukuziwa kwa karibu na klabu ya Man United kwajili ya kuboresha klabu yao kwenye eneo la ulinzi msimu ujao, Lakini dau ambalo limetajwa na klabu ya Everton ndio linaonekana linaweza kua kikwazo kwa Man United.
Makala iliyopita
De Zerbi Akaribia Kutua MarseilleMakala ijayo
Hummels Aondoka Dortmund