Chelsea wapo tayari kufanya mpango juu ya uhamisho wa beki wa Bayern Munich David Alaba kwa dirisha la usajili la mwezi Januari.
Licha ya kuendelea kuwa sehemu muhimu dimbani Allianz Arena, mkataba wa Alaba unapaswa kumalizika mnamo 2021, ambayo bila shaka imevutia nia ya kutaka kuinasa saini yake.
Liverpool, Manchester City, Real Madrid na Barcelona wote walikuwa wanahusishwa na uhamisho wa mchezaji huyo wa kimataifa wa Austria wakati wa msimu wa kiangazi.

Hata hivyo, kwa mujibu wa AS, Chelsea inaweza kuwasilisha ofa rasmi ya kumtaka nyota huyu mnamo Januari, licha ya mchezaji huyo wa miaka 28 kuweza kuwa sokoni kama mchezaji huru ikiwa hatasaini mkataba na kusalia klabuni hapo hadi mnamo 2021.
Ripoti hiyo zinadokeza kwamba The Blues wanataka kuona kama Bayern wanaweza kumuachia kwa bei ya bei ya chini, badala ya kuwapa Mabingwa muda zaidi wa kukubali masharti mapya na mchezaji huyo.
Mazungumzo kati ya Bayern na Alaba yanadaiwa kusimama na Bayern hawajajiandaa kukidhi mahitaji yake ya mshahara.
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!



Theonestina
Watamuweza tu
Ester jackson
Itakuwa safii sana mana tunahitaji sana beki Chelsea
warda
Ila chelsea nao wanahangaika sana
Khadija
watamuweza tuuu
Magdalena
Chelsea waweke tu mzigo mezani
Hopemwaikuka
Mtakua mmefanya ktu poa sana
Issa
Chelsea kutamfanya soka lake lipotee
Angelina
Kwann washindwe?
Lydia Emmanuel Magoti
Kwanini wasimuweze watamuweza tuu
Sabrina
Watawezana tuu
Tatu
Watamuweza tu
Povel
Ngoj tuone chelsea Kama wanawez kupata saini ya david Alaba
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif meridianbet