Chelsea na Pau Torres

Chelsea ni moja ya timu zinazowinda saini ya beki wa Villarreal Pau Torres. Pia vilabu kama Arsenal, Barcelona vimekuwa vikihusishwa kuwania saini yake majira haya ya kiangazi.

Torres, 23, beki wa kati amekuwa akivutia vilabu vingi vya Ulaya baada ya kuwa kiwango bora katika msimu wa La Liga.

Pia vilabu kama Arsenal, Barcelona vimekuwa vikihusishwa kuwania saini yake majira ya kiangazi.

Kocha wa Chelsea Frank Lampard na kikosi cha kimeruhusu magoli 44 msimu huu hivyo anahitaji kuongeza nguvu kwenye safu yake ya ulinzi.

Ada ya uhamisho ya Torres kwa mujibu wa mkataba wake ni £45million ambao bado miaka mitatu imesalia. Villarreal watahitajika kupunguiza ada yao ya uhamisho kama watahitaji kumuuza miezi ya hivi karibuni.

40 Komentara

    Chelsea pandeni dau mumchukue yupo vizur

    Jibu

    Ipo poa sana kwa wapenda soka na imetulia sana kwa mashabiki wa the blues pia frank kama atamchukua Torres ataboresha ulinzi na kutoruhusu magoli ya uzembe pale darajani

    Jibu

    Kama Chelsea watamchukuwa beki Pau Torres atawasaidia sana timu hiyo mana haina mabeki ambao wanauwezo wa juu sana hivyo atawasaidia sana .meridianbettz

    Jibu

    Chelsea inabidi wapambane kumpata beki pau Torres itawasaidia sana

    Jibu

    Chelsea wapambane kumpata atawasaidia sana tu

    Jibu

    Roman Torres ni beki wa kati wa miraba minne ambaye hupendwa sana
    Mwandishi mmoja wa BBC Shamoon Hafez alikaa siku moja katika jiji la Panama City, mji mkuu wa taifa hilo la Amerika ya Kati, akiwa na beki huyo anayechezea klabu ya Seattle Sounders.
    Kukumbuka bao la ushindi
    Torres ni beki lakini alifunga bao la ushindi la kufuzu kwa utulivu sawa na wa mshambuliaji
    “Wakati huo ni muhimu sana kwangu na kwa familia,” anasema Torres huku akionekana kutazama mbali, na tabasamu usoni, akikumbuka yaliyotokea usiku wa 10 Oktoba mwaka jana alipofunga bao la ushindi dhidi ya Costa Rica.
    “Ni jambo la kihistoria, jambo ambalo daima litakuwemo moyoni mwangu na rohoni. Kamwe sitaisahau siku hiyo.”
    Ulikuwa bila shaka mwisho wa furaha baada ya mechi za kusisimua za kufuzu kwa Kombe la Dunia kutoka eneo la Concacaf.
    Wapinzani wao Costa Rica walikuwa tayari wamefuzu kwa michuano hiyo ya Urusi, lakini majirani zao Panama walihitaji bao kufuzu moja kwa moja, baada ya kusawazisha kupitia bao ambalo lilikuwa na utata kuhusu iwapo mpira hasa ulikuwa umevuka mstari kwenye lango.
    Wenyeji walikuwa wanatafuta bao la pili kwa udi na uvumba na nahodha wao Torres alipewa ishara na meneja wao Hernan Dario Gomez.
    Mpira ulimfikia na akafanikiwa kumzuia mkabaji wa Costa Rica, akauruhusu pira udunde kidogo na kisha akatoa kiki kali na mpira ukatua wavuni.
    Hivyo n bek makin sana 👍 ni habar njema sana kwa lampard kumuona

    Jibu

    Roma torrez nibeki wakati ambae upendwa sana

    Jibu

    Torrez beki mzuri sana …wajitaidi wamchukue asaidie kuzuia magori

    Jibu

    Torres Mnyama#Meridianbettz

    Jibu

    Torrez ni beki Yuko makini Sana njema sana kwa lampard kumuona

    Jibu

    Torres ni noma

    Jibu

    Ameonyesh kiwango kizur San Sasa kaz ni kwake kuchagua kwenda

    Jibu

    Kijana yuko vizuri.

    Jibu

    Beki huyu atafaa sana chelsea kwa sababu kocha anatengeneza kikosi kwa ajili ya msimu ujao

    Jibu

    Uamuz ni wake

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Wekeni dau tyuu muumchukue huyo mchezaji hata kiwasha vzr Paul Torres Yuko vzr lazima ataziba mapeng kwa Chelsea

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Huyu jamaa ni beki mzuri Sana Kama Chelsea ikafanikiwa kumpata itakuwa imepata beki mzuri

    Jibu

    Hyu beki bora wamchukue arsenal maana timu yao ina hitaj malekebisho mengi sana

    Jibu

    Wambebe tu atawasaidia na watafanya vizuri msimu ujaoo

    Jibu

    Torres ni bonge la beki

    Jibu

    Asante kwa update!

    Jibu

    Nimchezaji mzuri sana kama watakubariana wamchukue#meridianbett

    Jibu

    Hapa tunasema taa ya kijani imeshawaka kwa Pau Torres, ni muda wake sasa kwenda kukipiga kwenye klabu kubwa na bora zaidi kutokana na kiwango chake sasa.

    Jibu

    Torres yuko vizuri kama wakifanikiwa kumpata atawasaidia sana

    Jibu

    Torres ni noma#meridianbettz

    Jibu

    Chelsea wakaze buti kumpata kijana

    Jibu

    Torres yuko vizuri

    Jibu

    Chelsea changamkia fursa…Torres yupo vizuri

    Jibu

    Torres huu ni ndy muda wake

    Jibu

    Chelsea kwa sasa wajizatiti Sana kukamata mabeki maana hiyo ndio shida yao kubwa kwenye kikosi cha lampad

    Jibu

    Torres huu ndio muda wake

    Jibu

    Maoni:Torres yuko vizuri chelsea wafike dau tu

    Jibu

    Chelsea inahitaji kuimarisha safu ya ulinzi kuliko timu yoyote kubwa kwa sasa#meridianbettz

    Jibu

    lampard aelewi eti nae

    Jibu

    Niwake uwamuzi

    Jibu

    mambo ni moto na meridianbet

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.