Man United Wanamtaka Messi?

Wadau wengi wanaamini kuwa Lionel Messi hawezi kuondoka Barcelona. Hii ni kutokana na mazingira ambayo staa huyu amejiwekea na mapenzi aliyonayo na Barcelona, pamoja na mda amabao ameutumia na klabu hii. Man United wanamtaka?

Kwa mujibu wa Chapisho la Express, Klabu ya wakongwe wa EPL, Manchester United wapo tayari kuvunja kibubu kumsajiri staa huyu.

Kuna baadhi ya vyanzo vimekuwa vikitaja kuwa Lionel Messi anatarajia kuondoka Braca baada ya soko kufunguliwa tena. Lakini staa huyu, binafsi amekuwa akisema kuwa anaweza akamaliza soka lake pale Barcelona.

Ikumbukwe Barcelona walitaka kumpatia mkataba wa maisha. Lakini Messi alikataa akisema kuwa inawezekana akawepo hapo maisha yake yote ya soka lakini sio lazima kusaini mkataba wa maisha.

Messi to Man United

Express wanataja kuwa klabu ya Man United inatarajia kumshawishi lionel Messi kusaini mkataba na wao ikiwa ataondoka klabuni hapo. Pia ushindani unatarajiwa na PSG ambako mwanatimu mwenzake Neymar alishawishika kwenda.

Kwa siku za hivi karibuni, Messi ametajwa kuwa hafurahii hali inayoendelea klabuni hapo. Hii inatarajiwa kuwa sababu ambayo inaweza kumshawishi kuamua kuondoka Camp Nou.

Messi alikuwa ni mmoja wa wachezaji walioitaka klabu yake kumrejesha Neymar kutoka PSG. Badala yake klabu iliamua kumleta Antoine Griezmann kutoka Atletico Madrid.

Wakatin dili la Messi kuja Man United, au hata kwenda PSG likionekana kuwa dili gumu kukamilika, klabu zinatarajiwa kujianda kwa ada ya takribani Euro milioni 108.

 


Bonyeza HAPA kujisajili na Meridianbet! Kumbuka tiketi yako ya kwanza daima ni USHINDI

46 Komentara

    Gud news

    Jibu

    Duuh messi asiondoke bhuana kwasababu mazingira aliyojiwekea na pia anamapenzi sana na barcelona

    Jibu

    Messi hawezi kuleta maajabu Man U kwasasa, ameshachoka#meridianbettz

    Jibu

    Mbona wanamtaka mtu ambaye umri umeenda Messi hana jipya saiz

    Jibu

    Hawezi mtu kumfosii Messi uamuzi upo kichwani mwake

    Jibu

    Messi kasha sema hata staff Barcelona so wamuache…

    Jibu

    Wamuache afanye maamuzi yake ni mtu mzima huyo na anajua nini anataka

    Jibu

    Messi haendi kokote atastaafu soka lake akiwa barcelona

    Jibu

    Wamuache afaye maamzi yake mwenyewe bila kulazimishwa

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Messi mtu mbad

    Jibu

    Manchester united wanajisumbua kwa mchezaji kama Messi ,kwa sababu anaipenda timu yake Bacerlona ,na anategemea kustaaff akiwa kwenye timu yeke

    Jibu

    Timu ya barc imekuwa na visasi ambavyo havina umuhimu kati ya viongozi na wachezaji hivyo hata kama lion messi akiondoka sawa tu hata kwenye timu nyingine maisha yapo ni juhudi zako tu ndio mafanikio yako

    Jibu

    Itakuwa vizuri sana kama Messi atachezea Mancity kabla hajastafu

    Jibu

    Messi abakie tu apo apo Barcelona man United atoweza kuonesha maajabu zaidi umri ushaenda

    Jibu

    Mmmh mess aje man u Ni hatar coz sio mategemeo kabisa yeye kuja man u. Na Nina amini lione mess soka la uengereza hariwezi kabisa
    Kwanza mtu mwenyewe kashuka kiwango kabisa.

    Jibu

    Hapo Nitaweza kuwa Shabiki wa Messi#Meridianbettz

    Jibu

    Sio kweli! Messi kwa man utd hapana labda man city atafiti kwa mfumo#meridianbettz

    Jibu

    Messi hawezi kwenda man u atastafu barca

    Jibu

    Sidhan kama ataweza hama barca

    Jibu

    Messi mtu mmbaya

    Jibu

    Hawez kwenda man u ata kidogo coz haikuwa ndoto yake kuichezea man u

    Jibu

    Anaweza akaenda kwa maslahi yake binafsi tu

    Jibu

    Duu Messi mwamba kilamtu ana mahamuzi yake Sasa Kama yeye ana takaka kuondoka kwenda Man United itakuwa poa tuu Kama hajalizia kuondoka abaki tuu hapo Barcelona akipige zaidi

    Jibu

    Abaki tu huko huko barcelona

    Jibu

    Mesi akija Mannchester UTD kumalizia soka lake itakua poa sana au hata klabu yeyote kubwa pale Uingereza kama Mancity kwani nina imani kwamba mashabiki wa soka wa Uingereza wanahitaji sana kumuona huyu nguli wa soka akikipiga Uingereza

    Jibu

    Abaki tuu uko uko…kwanza mda wake ndounaishiiia ataweza kutufuraishaaaa kwa kipindi ikiiiiiiii….kazi na umriiii

    Jibu

    Messi namkubali

    Jibu

    Waandishi awakosi chakuandik Taalifa iwe na mashiko aseme mwenyew

    Jibu

    Habari nzuri.

    Jibu

    Hizo ni tetesi tu ila messi hawezi kuondoka barcelona

    Jibu

    Duuh ya kwer hayo, basi itakuwa vizur

    Jibu

    Duh ndio kwnz nasikia hii habari ni kweli mess hanawez kuondoka Barcelona ngoja tuone kwnz km hanawez kwend man United

    Jibu

    Abaki Barcelona amalizie mpira hapo

    Jibu

    Nina Imani kwa Messi ni ngum Sana kuondoka baca

    Jibu

    Lionel messi ni mchezaj bora wa dunia na mshindi wa tuzo za ballon d’Or ila kwa kusajiliwa man United hizo ni tetesi hawawez kumleta messi OT

    Jibu

    Man U watatukosea heshima Kama watajaribu kusajili Messi Kama wanataka no afadhali wamridishe CR7 mnyamaa

    Jibu

    Duuuh.

    Jibu

    Sijui kama hataweza kuama ila maamuzi anayo yeye mesi#meridianbett

    Jibu

    Messi ni mtoto wa Barcelona hawezi Hama nyumbani.

    Jibu

    Hizi ni tetesi tu ila kwa messi kuja man sidhani ila ingependeza akaja kumalizia career yake ya mpira EPL pale

    Jibu

    Abaki tu

    Jibu

    Maoni:Man u waache tamaaa

    Jibu

    man utd hatutaki matatizo bhn abaki huko huko

    Jibu

    duuh

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.