Chelsea Wapeta St James Park

Newcastke United ikiwa Uwanja wa St James Park ilikubali kuyeyusha pointi tatu mazima baada ya kukubali kichapo cha mabao 0-2 dhidi ya Chelsea.

Chelsea chini ya Kocha Mkuu Frank Lampard ilianza kwa kasi jana Novemba 21 kulisakama lango la wapinzani hali iliyopelekea Federico Fernandez beki wa Newcastle United kujifunga dakika ya 10.

Kipindi cha pili Chelsea ilizidi kupambana na iliweza kupata bao la pili dakika ya 65 kupitia kwa Tammy Abraham akipokea asisiti ya Timo Werner.

Ushindi huo unaifanya Chelsea kufikisha jumla ya pointi 18 sawa na Leicester City ambayo itashuka uwanjani leo kumenyana na Liverpool wenye pointi 17.


BASHIRI UKIWA MAHALI POPOTE!

Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.

Meridianbet Beti Popote

INGIA MCHEZONI!

25 Komentara

    Safi

    Jibu

    Ushindi walio pata walistaili pongezi kwao

    Jibu

    Safii Sana chealse

    Jibu

    Hongera Chelsea

    Jibu

    Chelsea wako vizuri

    Jibu

    Hongereni Chelsea

    Jibu

    Hongera sana chelsea chama langu

    Jibu

    Chelsea walicheza kwenye kiwango bora sana kiasi ambacho kama wangekuwa makini wangeweza kutoka na magoli mengi ingawa waliambulia point 3 safii sana Chelsea

    Jibu

    Safi sana chelsea

    Jibu

    Ongera chalsea

    Jibu

    Chelsea bomba

    Jibu

    Ushindi huo uliipa Chelsea uongozi wa Ligi kwa muda kabla Tottenham kusinda na kukaa kileleni

    Jibu

    Kwa raha zao

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Big up kwa chelsea

    Jibu

    Chelsea safi sana

    Jibu

    Pongez kwao chelsea the blues

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi Chelsea

    Jibu

    Hongera sana chelsea

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    kazi nzuri waliifanya chelsea

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

    Lampard anaiwez timu yake sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.