Ikiwa ametoka kusaini dili jipya la kuinoa timu ya Manchester City kwa miaka miwili, Pep Guardiola ameanza na kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Tottenham Hotspur ambayo ipo nafasi ya kwanza na pointi 20.
Mabao ya Tottenham Hotspur inayonolewa na Kocha Mkuu, Jose Mourinho yalipachikwa na Son Heung-Min dakika ya 5 na lile la pili lilipachikwa na Giovan Lo Celsso.

Mchezo huo wa Ligi Kuu England ulichezwa Uwanja wa Tottenham Hotspur na kuwafanya City wasiamini wanachokiona baada ya dakika 90 kukamilika kwa kuwa walifanya mashambulizi mengi ambayo hayakuwa na faida.
Manchester City iliyo na pointi 12 ikiwa nafasi ya 11 kwenye mchezo huo ilimiliki mpira asilimia 67 huku Spurs ikiwa na umiliki wa asilimia 33. Kwa upande wa mashuti matano yaliyolenga lango na Spurs ilipiga mashuti mawili.
Bao la Manchester City lililofungwa na Aymeric Laporte lilifutwa na mwamuzi Mike Dean kwa kile alichoeleza kuwa ilikuwa faulo kabla ya kufunga bao hilo.
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.



Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana
Adelta
Good 👍👍
Shakila mrope
Safi san
Caroline
Guardiola pole.umeanza msimu vibaya
Ester jackson
Tottenham hasaivi iko moto sana
Asia Abdy
Mourinho ni kocha mzuri sana
Fatina mfingi
Pongezi kwako
Sarah
Good
Sania
Hatari
Sadick
Mourinho amejaa mbinu na Pep soka lake ni pasi nyingi na burudani
Sauda
Tottenham wapo vizuri.
Hopemwaikuka
Jambo jema
Rahma
Nice
Elika
Pongez sana kwao
Fatuma kasomo
Pongezi kwao
aisha
Duuuuh kazi kweli kweli
Nasra
Gud
Rehema
Safi
Povel
Hakika spurs walikuwah kwny moto wa Hali ya juu sana kwny mchezo wa jana wamestail kupata point 3 kwny mchezo huo credit kwa jose mourinho (special one ) katika mchezo wa jana
Saupha mohamed
Safii sana
Mwajumah
Pongezi kwako
Tatu
Pongezi kwao
magdalena
pep yuko vizuri ila hawezi kumfikia mourinho
Tahiya
Noma sana
Issa
Mourinho ni moto sana
warda
Pep atalipiza tu