Coastal Union Waharibu Unbeaten ya Yanga

Klabu ya soka ya Coastal Union kutokea Tanga, leo imetamatisha mwendo wa michezo 21, bila kufungwa wa vinara wa msimamo wa Ligi Kuu Bara klabu ya soka ya Yanga baada ya kuibuika na ushindi wa mabao 2-1.

Coastal imeibuka na ushindi huo katika mchezo mkali uliopigwa kwenye dimba la Mkwakwani jijini Tanga.

Kabla ya mchezo wa leo Yanga ilikuwa imecheza michezo 21 ya Ligi Kuu Bara, bila kupoteza mchezo wowote wakishinda michezo 14 na kutoa sare michezo saba.

Baada ya mchezo Kocha Coastal Union Juma Mgunda amesema kuwa hawakuwa na namna ya kufanya ila mpango wa Mungu ulitimia.

“Hakukuwa na namna ya kufanya kwani vijana wangu niliwaambia kwamba mchezo utakuwa mgumu wanapaswa wapambane ndani ya uwanja.

“Mungu amejibu maombi yetu nasi tumeshinda hivyo ni fuaraha kwetu na mashabiki wetu, mapambano bado yanaendelea,” amesema.

Licha ya kipigo hicho Yanga bado inasalia katika uongozi wa ligi na pointi zao 49, baada ya kucheza michezo 22.


Ni Muda wa Kuvuna Mkwanja na Jungle Jim and the Lost Sphinx

Hauihitaji kufikira mara mbili ni mchezo gani utakupatia mkwanja ndani ya kasino za Meridianbet. Jiunge sasa ufurahie Jungle Jim and the Lost Sphinx.

  CHEZA HAPA

8 Komentara

    Bado Yanga ina nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa msimu huu

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

    Wamewakomesha

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Safi sanaaa

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Walinikosha sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.