Hatua ya makundi ya Ligi ya Europa inatarajia kuanza mwezi huu, Oktoba 22 huku droo ikiwa imeshatoka, Roma, Milan na Napoli wakiwa katika makundi tofauti.
Milan wanaweza kuwa wanaenda kupata ushindani mkubwa kwenye hatua ya mtoano, pale wanapoenda kuruka viunzi dhidi ya Sparta Prague, Celtic na LOSC Lille katika kundi lake. Lakini kibarua kinaweza kumgeukia yeyote hapa kulingana na maandalizi ya hawa wote kwenye kundi H.
Washika bunduki, ambao walichapwa kwenye fainali katika msimu uliopita wao wanaenda kuchuana na apid Vienna, Molde na Dundalk kwenye kundi B. Bila shaka hawatataka aibu ya kutolewa mapema kabisa hatua ya makundi.
Vijana wa Mourinho wao watakuwa na kibarua dhidi ya Ludogorets, LASK na Royal Antwerp katika kundi J. Wakati Leicester atakuwa mzigoni dhidi ya Braga, AEK Athens, Zorya Luhansk.
Makundi: Ligi ya Europa 2020-21 Hatua ya Makundi
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!
Povel
Mambo ni moto msimu EUROPA leage 2020/2021
Shani
Msimu huu pataelewk san
Khadija
Minaiona arsenal itafika mbali sana hatakucheza fainal
Issa
Ni balaa round hii
Sabrina
Itakua patashika round hii
Hopemwaikuka
Pagumu hapo
aisha
Lazima kieleweke msimu huu
magdalena
apo mziki ni mzito kila timu inataka kutoboa
Dorophina
Europa imepamba moto viwanja vitawaka moto
Sauda
Tunasubiri kuona nani ataburuza mkia?
Angelina
Mambo ni motoo
Mwanahamisi
Mambo ni mareshi
Ernest
Magropu ya Europa ni mepesi sana moja kwa moja unaona nani atapita kwenda next round
Fatina mfigi
Mmmh ndo patamu hapo!
Tatu
Europa ligi kumenoga
Elika
Kwenye makundi sasa hapo ndo tutajuaga huko huko mbele kwa mbele..atakaye kuwa mbabe zaidi ya kundi la mwenzie apita huyo huyo
Adelta
Hapa yetu macho tunataka tuone Nani zaidi na bingwa Ni nani
Nasra
Ligi bombaaa
Lydia Emmanuel Magoti
Msimu huu mbona pata eleweka EUROPA
Caroline
Europa. Kumenogaaaa
felister
ni balaa
Amiri Kayera
Patachimbika bila sululu
Latifa juma mohamed
Msimu huu lazima pataeleweka.
Saupha mohamed
Nomaaa
Gabriel
Imekaa poa sana 👍
David Pere
Magropu ya Europa ni mepesi sana moja kwa moja unaona nani atapita kwenda next round
Samiah
Duuh