Michuano ya EFL Championship inatarajiwa kurejea kuanzia Juni 20, huku Fulham wakiwa wenyeji wa Brentford. Hii itakuwa mwchi ya kwanza kwa debi ya Londoni Magharibi baada ya likizo ya Corona.
Mabosi wa Ligi hii wanataka michuano hii kuchezwa hadi mwisho. Leeds United na West Brom wamekalia kileleni kwa nafasi zao wakifukuzia kurejea Premier League.
Leeds United wanapambania kurejea EPL kwa mara ya kwanza toka waliposhuka daraja mwaka 2004, watakutana na Cardiff Juni 21.
Fulham na Brentfordwapo katika nafasi ya tatu na nne, hawapo katika dirisha la kufuzu moja kwa moja kwenda Premier League.
Nottingham Forest na Prestonwao katika nafasi ya tano na sita wana kibarua cha kufanya wakati timu zote zikiwa zimnecheza mechi 37.
Kila timu imesalia kucheza mechi 9, huku raundi ya mwisho ikiwa inatarajiwa kuchezwa Jumatano, Julai 22.
Jumapili, EFL walitangaza kuwa kati ya watu 1,179 waliopimwa katika raundi ya mwisho, ambao wanahusiana na Vilabu michuano Championship, ni wawili tu waliokutwa na maambukizi ya Corona.
Hizi ni taarifa njema kwa waendeshaji wa ligi kwa kuwa hawana idadi kubwa ya wagonjwa.
Tumerudi Nao! Endelea Kubashiri Nasi



Aziza mushi
Habar nzuri tunasubiria.
Caroline
Tunasubiri Kwa hamu kubwa
Gabriel
Hakika n Jambo la kufurahisha na tunaisubir hatar
lombo
dah mech itakuwa kali san hiyo maana wachezaj wanahamu sana ya kusakata kabumbu
Magdalena
Habari ndo zilizobaki tunasubiria kwa hamu zote
Hamidu
Yap..tulimiss burudani ya soka#meridianbettz
Genia Sikaluzwe
Wacha soka lichezwe,tulimis xnaa,
David Pere
Hizi timu wakati mwingine huwa nazipenda Sana kwa sisi watu wa kubetii
Mwajuma
Wazee wakubet flusa,ndiyo hiyo mechi ndiohizo zinarudi
mwakalosi
hii ni habari njema sana kwa sisi wapenda soka
Povel
Habar nzuri kwa wapenda soka na wazee wa majamvi thnks meridian bet tz kwa information
Furahav
Iko poa.
Samiah
Tunaisubiri kwahamu kubwa
Shafii
Tulikua tunaisubili sana kwa mchecheto
Dorophina
Ni habari njema hizi
mathayo sonje
Leeds ataweza kuvumilia mikikimikiki ya EPL kweli!! mimi ninamshaka na hawa wawili kwa sababu wanaweza panda alafu wakaburuzwa
Theonestina
Tunaisubir kwa hamu
Hidaya
Habari njema kwa wapenzi wa mpira
Lydia Emmanuel Magoti
Hii ni habari njema kwa sisi wapenda soka
Amani
Nijambo jema Pele lime mkuta mkunaji nimwendo wakutupia mikeka meridianbettz no one
Antony Luseno
Sekta nyingi zimeyumba na janga la corona lakini mambo yanarudi kama zamani ligi zote zinarejea
Evaluziga
Ni Jambo jema Pele limemkuta mkunaji ni mwendo wa kubeti
Mwanaidi
Ni vizuri sana tupo tunasubiri kwa hamu sana
Hope mwaikuka
Habari njem na ya matumain
Salma
Habari nzuri
Neema juma
Haya ndo maneno tuliyokuwa tunayangojaa kwa mda
isha
Hapo mbona kitanuka lakini mshindi atakua fulham
Warda
Acha irejee jamani mana sio kwa arosto hizi
Theckla
Itakuwa poa
winfrida
habari njema sisi wacheza kamali maana tuliteseka sana kipi iki cha corona
felister
Bora irudi tulimisi iv vitu ijapokua unarejea bila mashabiki
Ester jackson
Habari njema sana kwa sisi mashabiki
Neema hassan
Wapenzi wa soka tunasubir kwa hamu
Adelta
Tunaisubiri kwa hamu
Devotha
Tunasubiria kwa gani sana wapenzi wa soka
Rehema Dickson
Japo corona imeludisha mambo meng nyuma ila mungu ila kwa uwezo wa mungu kila kitu kitakua sawa
Samiah
Tunaisubiri kwahamu kubwa
julieth boniface
piga kelele kwa EFL ake ww
Ester mmakasa
Hizi ni taarifa nzuri kwa waendeshaji wa ligi kwasababu hawana idadi kubwa ya wagonjwa.
Emmy cleopa
Habar nzur
Ernest
Wazee wa Championship tupo tayariiii
Kenani
Tupo tayr kwajil ya burdani
Zeiyana
Tunaisubili sana kwa hamu championship Caz ni ligi inayotupa sana mkwanja
Frank Patrick
🤲 Leeds apande maana ni mda mrefu sana atuletee mpinzani mwingine City soon anapoteza ushindani #YNWA
Agness
Tunasubiri kwa ham