Kumekucha kwenye ligi soka nchini Ujerumani, golikipa wa Bayern Munich – Manuel Neuer ameweka rekodi kwenye ligi ya Bundesliga.
Kwa mara ya kwanza kwenye maisha yake ya soka, Manuel Neuer ameruhusu kufungwa magoli katika mechi 10 mfululizo.
Neuer amecheza Bundesliga kwa miaka 15 sasa na hajawahi kuruhusu goli kwa michezo 10 mfululizo, huu ni msimu mbaya zaidi kwa golikipa huyu mwenye umri wa miaka 34 kwa sasa.

Bayern Munich walianza mchezo dhidi ya Borussia Mönchengladbach kwa kuongoza 2-0 kabla ya Mönchengladbach kupindua meza na kushinda kwa magoli 3-2.
Mara ya mwisho Bayern Munich kutoruhusu kufungwa goli ilikuwa Oktoba 24, 2020 waliposhinda 5-0 dhidi ya Eintracht Frankfurt.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??



Janeflora malisa
Asnt kwa taarif meridianbet
Adelta
Bayern Munich wanamkubali sana golikipa wao
Shakila mrope
Habari njema kwa mashabiki
Magdalena
Safi sana kazi nzuri
Ernest Kimeru
Umri umemtupa mkono Bayern wajiandae kwa Plan B
Sarah
Habari nzuri kwamashabiki
Rahmal
Safi sana
Caroline
Hongera sana
lombo
duuh
Mwanahamisi
Hongera sana
Hopemwaikuka
Katishaaa
aisha
Big up kwao
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri sana
Dorophina
Pongezi kwake manuel
Latifa juma mohamed
Kazi nzur na Safi Sana.
Issa
Kipa bora
Sania
Manuel awaachie vijana sasa
Ester mmakasa
Safi sana kwake.
Saupha mohamed
Hongera
warda
kafanya sana poa dogo