Baada ya kumaliza msimu katika nafasi ya 6 kwenye Msimamo wa EPL. Tottenham wanacheza michezo ya kufuzu Mashindano ya Europa msimu ujao.
Michezo ya Kufuzu Europa msimu ujao kuanza kutimua vumbi Septemba.
Tottenham watasafiri kuwafuata Lokomotiv Plovdiv nchini Bulgaria katika mchezo wao wa kwanza wa kufuzu mashindano hayo.
Wakati huohuo, Motherwell watawafuata Coleraine, Rangers uso kwa uso na Lincoln Red Imps.
Aberdeen kukutana na Viking, Shamrock Rovers dhidi ya AC Millan. Michezo hii itaanza kutimua vumbi Septemba 17 na itachezwa bila mashabiki.
Dakika za nyongeza na mikwaju ya penati itatumika pale itakapohitajika kumpata mshindi wa mchezo wowote kati ya hii.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
Mwanahamisi
Asante kwa makala#meridianbet
Amiri Kayera
Changamot za playoffs zimeanz but naamin uwez wa Tot kupt
magdalena
ITAKUWA BONGE LA MCHUANO WA KUFA MTU
aisha
Ninaimani tottenham watafanya vizuri sana maana wamejipanga ilivyo
Sauda
Tottenham winner
Samiah
Win Tottenham
rama
tottenham hawa cha kupoteza mechi hiii
Furahav
Habari nzuri.
Dorophina
Habari njema kivumbi kinaanza Tena Mambo mazuri
Hope mwaikuka
Hii mechi ngumu sana
Adelta
Tottenham yuko vizur@meridianbettz
Mwajumah
Habari nzuri#Meridianbettz
Sabrina
Bonge la mechi hilo Tottenham wajitahidi wafuzu
felister
tuombe dua tuone mana mpira hautabiliki
Lydia Emmanuel Magoti
Itakuwa mchuano watari huo
Ernest
Spurs msimu ujao watakuwa moto sana
Latifa juma mohamed
Gud news.
Sadick
Tottenham kutoka kuwa finalist UEFA Champions league hadi kucheza europa league tena kwa taabu#meridianbettz
Theonestina
Tottenham lazma ashinde
Antony Luseno
Kikwazo mashabiki tu ila mambo kama zamani
Khadija
itakuwa bonge la michuano
Hidaya
Tottenham lazima ashinde
Tatu
Totenham wanaenda kufanya yao huko
Rehema
Totenham win
Fatina mfingi
Totenhman win
jullie
tunasubiri kwa hamu
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Rose kapinga
Patachiimbika hapoo!!!
Rehema Dickson
Itakua pata shika nguo kuchanika
Agness
Asante kwa makala nzuri
Janeflora malisa
Hbr njm
Issa
Totenham kama wajipange kwa kurudi champion league msimu huu
Samira
Naamini Tottenham atajipanga sana kwa hili nasuburi kwa hamu huu mtanange
Shafii
Spurs anauwezekano wa kupita kwenye hatua hiyo.
Theckla
Tottenham wanatakiwa wapambane kweli kweli
Ester jackson
Good news
Saupha mohamed
Good news
Caroline
Spurs wamekua na msimu mzuri sana
Zeiyana
Kama Tottenham wataishinda hii mechi bac itawapelekea kuanza vizuri msimu huu
David Pere
Spurs msimu ujao watakuwa moto sana
Elika
Safi sana
Salma ngende
Habari nzuri
Neema
Itakuwa siku nzurii sana
Nasra
Kete yangu naitupia kwa Spurs anauwezekano wa kufuzu.
Shani
Tottenham wajipange msimu ujao warudi kwenye nafasi yake
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Gabriel
Imekaa poa sana 👍
farida ahmadi
Hi iko vizuri Sana
warda
Safi sana