As Roma nao Waivunja Girona

Makala iliyopita
Crystal Palace Inaendelea KujiimarishaMakala ijayo
Joshua Mutale na Mukwala Watoa Neno Simba
Miamba ya soka kutoka nchini Italia walikua wanatafuta mshambuliaji sokoni ambaye ana ubora mkubwa kwakua mshambuliaji ambaye alikua klabuni kwao ni Romelu Lukaku ambaye ni mchezaji wa Chelsea na alikua kwao kwa mkopo, Hivo hiyo imewafanya kuamua kwenda kwa Artem Dovbyk ambaye amekua na msimu bora sana ndani ya timu yake.