Mbio za kuwania Scudetto na taji la Bundesliga zinaendelea kupamba moto. Inter Milan na Bayern Munich, mwendo mdundo!!
Inter alikuwa uwanjani kupambana na Fiorentina, Nicolo Barella na Ivan Perisic walitosha kuwapatia vijana wa Antonio Conte pointi 3 muhimu na sasa wanaongoza ligi.

Upande wa pili, Bayern Munich walikuwa uwanjani kupimana uwezo na Hertha Berlin. Goli la Coman kunako dakika ya 21, limewatosha Bayern kuendelea kukaa kileleni kwa tofauti ya pointi 10 mbele ya RB Leipzig.
Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.



Sylvester
Bayern wanafanya vizuri ila sio sana na inabidi wakaze buti kwani vijana wengine wamejidhatiti kupambana nao.
Adelta
Bayern munich Bado anakazi nzito
Khadija
Bayern munich endelea kukaza buti
Caroline
Mambo yametaradadi
Magdalena
Bayern wasipokuwa makini kwa uchezaji wao huu watapoteza sana
Dorophina
Bayern bado mpira wao sio wa kiwango
Rahma
Asante kwa taalifa
Sarah
Bayern Wana kibarua kizito
Sania
Mambo yamenoga
Hopemwaikuka
Imeeleweka
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri sana
warda
Inter wanajitahidi sana