Napoli Haina Mpango wa Kumuachia Kvaratskhelia
Makala iliyopita
Fiorentina Yamsajili Moise Kean
Makala ijayo
Simba Yaendelea Kutembeza Panga
Taarifa zinaeleza kua winga huyo ana mpango wa kuondoka ndani ya klabu hiyo msimu ujao kwajili ya kutafuta changamoto nyingine nje ya klabu hiyo, Lakini klabu hiyo inaelezwa haiko tayari kumuachia mchezaji huyo ambaye anafanya vizuri na timu yake ya taifa ya Georgia.
Kocha mpya wa klabu hiyo Antonio Conte ameweka wazi anatamani kufanya kazi na winga Kvaratskhelia kueleka msimu ujao na akimuona kama mchezaji muhimu kwenye mipango yake ya msimu ujao, Lakini bado kuna uwalakini kwa mchezaji kama atakubali kubaki ndani ya klabu hiyo.