
Kocha Antonio Conte anapambana kuhakikisha anairejesha klabu hiyo kwenye ubora ambao ilikua nao misimu miwili nyuma mpaka kufikia kubeba ubingwa wa ligi hiyo, David Neres ni moja ya wachezaji ambao ameonekana kama anaweza kurudisha uhai kwenye klabu hiyo na ndio maana wamemsajili.