Napoli Yachezea Kichapo Nyumbani Kwake

Mabingwa watetezi wa Serie A, Napoli ambayo ipo chini ya kocha mkuu Rudi Garcia wamechezea kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya Fiorentina.

 

Napoli Yachezea Kichapo Nyumbani Kwake

Mabingwa hao wamekuwa wakisuasua msimu huu kwenye mechi zao ambazo wamecheza huku wakipoteza mechi mbili za ligi hadi sasa na wanashikilia nafasi ya 5 wakiwa na pointi zao 14.

Aviator, poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Piggy Party na mingine kibao upige pesa na Meridianbet. Ingia www. meridianbet.co.tz.

Lakini pia wamepoteza mchezo wa ligi ya mabingwa wakiwa hapo hapo nyumbani, na hii ni kuonyesha kuwa wana dalili ndogo sana za kutwaa mataji makubwa msimu huu barani Ulaya.

Napoli Yachezea Kichapo Nyumbani Kwake

Chini ya kocha mpya Garcia Napoli wamekuwa hawapigiwi chapuo la kuchukua Scudeto msimu huu kwani mpaka sasa wameachwa pointi 7 na kinara wa ligi ambaye ni AC Milan mwenye pointi 21.

Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara.

Napoli Yachezea Kichapo Nyumbani Kwake

Baada ya mapumziko ya Kimataifa, Naples watakipiga dhidi ya Hellas Verona ugenini na baada ya hapo tarehe 24 watarejea kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa mabao watakuwa ugenini dhidi ya Union Berlin ya Ujerumani.

 

 

 

Acha ujumbe