Man Utd: Wakala wa Pogba Alivyomjibu Scholes

Wakala wa mchezaji Paul Pogba bwana Mino Raniola amemtolea uvivu aliyekuwa mchezaji wa Man utd Paul Scholes juu ya madai dhidi ya mteja wake kufuatia Kiwango anacho onesha katika timu hiyo hasa siku ya jumapili pale Brighton ambapo Man Utd walipoteza kwa kupigwa bao 3-2.

kwa mujibu wa mchezaji huyo wa zamani anadai pogba alikuwa na mchezo mbaya na pia hakua kiongozi katika mechi waliyopoteza jumapili kwenye ligi ya Primier.

Hata hivyo Mino Raniola anadai Scholes asingeweza kumtambua kiongozi kama angekuwa mbele ya sir Winston Churchill, aliongeza kuwa kuna watu ambao wanalazimika kuongea ili wasisahaulike likiwa ni dongo kwa Scholes. Raniola alisisitiza kuwa kulikuwa na mapungufu katika uongozi na ndio maana Pogba akaonekana ndio chaguo sahihi. Lakini Pogba mwenyewe alikiri mapungufu yake hasa katika mchezo wa Brighton.

2 Komentara

    Mmh majanga.

    Jibu

    Yuko sahihi kabisa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.