Adama Traore amerudi jijini Barcelona kwa ajiri ya vipimo vya afya siku ya leo Ijumaa ili kukamilisha uhamisho wa mkopo ili kuweza kujiunga na klabu ya hiyo yenye maskani yake kwenye viunga vya Catalunya.
Winga huyo wa klabu ya Wolves alielekea hospitali ya jijini Barcelona kabla ya kwenda kituo cha Ciutat Esportiva kwa vipimo kadhaa ili kuweza kufanikisha uhamisho na kamalizia kusaini karatasi kadhaa zilizobakia.

Adama Traore alisimamisha na mwanishii wa kituo cha TV3 na hakuhitaji kueleza kwa kina ila alsema kuwa mipango ya uhamisho wake inaendelea na alimalizia kusema “Nina furaha ya kurudi Barcelona.”
Barcelona wanatarajia kumtangaza Adama Traore kama usajiri wao mpya wa mwezi January siku ya jumatatu kwenye uwanja wa Camp Nou, Traore anatarajia kuitumika klabu hiyo mpaka mwisho wa msimu, huku kukiwa na kipengere cha kumnunua kabisa kwa kiasi cha €30 million.
Dakika tano pekee zinakutosha kuwa mmoja wa washindi wa mkwanja mrefu ndani ya kasino pendwa ya meridianbettz katika sloti maridhawa ya KENO, moja ya michezo inayoipa thamani dau lako.


