Ajax Kumchukua Sergio Roberto
Makala iliyopita
YANGA KUFUNGUA PAZIA LA KIMATAIFA CHAMAZI
Makala ijayo
Leny Yoro Apata Majeraha
Mchezaji huyo ambaye ameibuliwa kutoka akademi ya Barcelona ameitumikia klabu hiyo kwa muda mrefu sasa tangu mwaka 2010 ikiwa ndio mara ya kwanza kwa mchezaji huyo kucheza timu ya wakubwa ya Barcelona, Hivo klabu hiyo na mchezaji mwenyewe wanaelezwa kufikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuachana.