Ancelotti Amtabiria Makubwa Alonso

Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amemtabiria makubwa mchezaji wake wa zamani ndani ya timu hiyo Xabi Alonso ambaye kwasasa anaifundisha klabu ya Bayern Leverkusen ya Ujerumani.

Kocha Ancelotti anasema kiungo huyo ana uelewa mkubwa wa mpira wa miguu na ndi sababu kiungo anafanya vizuri kwasasa ndani ya klabu ya Bayern Leverkusen.ancelottiKocha huyo anaamini kingo huyo siku moja ataweza kuja kua kocha wa klabu ya Real Madrid, Hii inatokana na kitu kikubwa ambacho anakiona ndani ya Xabi Alonso ambapo mpaka sasa anafanya vizuri ndani ya Bayern Leverkusen.

Kiungo wa zamani wa klabu ya Real Madrid kwasasa anafanya vizuri katika ligi kuu ya Ujerumani ambapo anakinoa kikosi cha Bayern Leverkusen ambacho mpaka sasa kikosi hicho kinaongoza ligi kuu ya Ujerumani, Hii inaendelea kudhihirisha kua ni kwa namna gani kocha huyo anaweza kuja kufanya makubwa.ancelottiKocha Carlo Ancelotti anaamini mchezaji wake huyo wa zamani wa klabu ya Real Madrid ana uwezo wa kuwa kocha mkubwa zaidi, Kwani mpaka sasa ameshaonesha uwezo wake ndani ya Bayern Leverkusen na mpaka sasa taarifa zinaeleza kua Alonso anaweza kua ajaye wa Real Madrid.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.