Ancelotti: Hatuna Mpango wa Kusajili
Makala iliyopita
Maresca: Tunaweza Kusajili Mshambuliaji
Makala ijayo
Juventus Mawindoni kwa Sancho
Klabu ya Real Madrid ilikua inahusishwa na wachezaji kadhaa wa eneo la ulinzi kwenye dirisha hili ikiwemo Leny Yoro ambaye amejiunga na klabu ya Manchester United, Inasemekana mchezaji huyo ndio alikua pekee kwenye mipango ya Madrid hivo kumkosa kumefanya mabingwa hao wa ulaya kuachana na mpango wa kusajili beki.