Barcelona Wanataka Kumuuza De Jong
Makala iliyopita
Bayern Munich Kumchukua Tah
Makala ijayo
Simba Mshindi wa Ttau Ngao
Manchester United ilikua inamfuatilia Frenkie De Jong kwa miaka miwili mfululizo ambapo hawakufanikiwa kupata saini ya nyota huyo, Lakini Barca kwasasa wanaelezwa kua wako tayari kumuachia kutokana na hali ya kiuchumi ambayo inawakabili kw akipindi hichi.