Barcelona Wanaendelea Walipoishia

Makala iliyopita
Arsenal Waipasua Spurs North London Derby Waweka RekodiMakala ijayo
Liverpool Yamfukuzia Bremer kama Mbadala wa Van Dijk
Barca walifanikiwa kupata mabao mawili ya haraka kupitia kwa kinda wao hatari Yamine Yamal ambaye amekua kwenye kiwango bora sana ndani ya klabu hiyo, Klabu hiyo ilifanikiwa kwenda kipindi cha mapumziko wakiwa wanaongoza kwa mabao mawili kwa bila huku wakicheza mpira wa kuvutia zaidi.