Deco: Hatujamsajili Nico Williams kwakua Tuna Wachezaji Bora
Makala iliyopita
Berrada Matumaini Kibao kwa Ten Hag
Makala ijayo
Manchester United Kumsajili Rabiot
Deco ameongeza kwa kusema Dani Olmo ambaye wamemsajili kutoka klabu ya Rb Leipzig anaweza kuwapa machaguzi mengi zaidi kikosini kwakua ana uwezo wa kucheza nafasi zaidi ya moja kiwanjani, Hivo ni usajili bora kwao kuliko kusajili winga mmoja tu.