Tchouameni Kupigwa Bei Madrid
Makala iliyopita
Manchester United ya RVN Yaanza na Moto
Makala ijayo
SIMBA: TUTAWALIZA WENGI MSIMU HUU
Inaelezwa klabu ya Real Madrid ipo tayari kumuamini kiungo mwingine wa kimataifa wa Ufaransa Eduardo Camavinga na kumuachia kiungo huyo wa zamani wa Monaco kutimka klabuni hapo, Hii itategemea na ofa ambayo itakuja mezani kwa mabingwa hao wa Ulaya kama itawaridhisha basi watamuuza.