Tukio la Kihistoria la Fainali ya Uefa Pale Munich 2012 Sehemu ya 1

Wakati Jonas Kaufmann na David Garett wanamalizia ubeti wa mwisho wa wimbo wa UEFA champions league, mji mzima wa Munich ulikuwa umechemka, Allianz Arena palikuwa pamewaka moto, wajerumani hawasikii neno lingine zaidi ya ‘Champions’ katika ule wimbo wa UEFA ulioandikwa na muingereza Tony Britten.

Hawakufika uwanjani kutazama mechi, bali kulitazama taji la tano la Ulaya likibaki Munich. Walikumbuka walivopoteza kimasihara mwaka 2010 mbele ya Inter Milan ya Jose Mourinho. Sasa ilikuwa ni zamu yao.

Wakati huo pale London mitaa ya Fulham, lililopo dimba la Stamford Bridge, mashabiki 41,000 wa Chelsea walikuwa wameujaza uwanja wao kama kawaida. Licha ya mchezo kuchezwa Ujerumani, wao waliamini wachezaji wao watawasikia kutoka nyumbani.

Wengi wao waliingia uwanjani wakiwa na magazeti ya ‘the beautiful game’ mikononi mwao. Gazeti hilo la siku hiyo ya tarehe 19 May 2012 liliwakumbusha mashabiki wa Chelsea namna Uingereza ilivoshinda vita ya pili ya dunia mbele ya Ujerumani. Hivo leo pia, walikuwa na kila sababu ya kushinda.

Itaendelea……

44 Komentara

    Ilikuwa ni fanal ya waingereza na wajeruman maana ilikuwa ya kuvutia sana

    Jibu

    Fanal hii niya wajerumani na waingereza

    Jibu

    Bonge la makala, nasubiri mwendelezo #meridianbettz

    Jibu

    Ni hadithi ya kusisimua wacha nisubili itavyoendelea

    Jibu

    Dah sa itakuaje?

    Jibu

    Duu! Bonge la histori wacha nisubiri nione mwisho wake

    Jibu

    Ni stori nzur tusubiri mwisho wake

    Jibu

    Historia tunasubiri mwendelezo wake

    Jibu

    Taarifa nzuri nasubili muendelezo wake..

    Jibu

    Katika fainali hiyo Drogba alicheza katika kiwango cha juu sana

    Jibu

    Makala safi fanyeni mwendelo mapema

    Jibu

    Asante meridianbet kwa makala nzuri

    Jibu

    Bonge la histori wacha nisubiri nione mwisho

    Jibu

    Makala inasisimua ila kwanini mwandishi ajafikia mwisho hakika ilikuwa beautiful game

    Jibu

    Asante kwa makala tamu na ya kueleweka meridianbet mnafanya vizuri sana.

    Jibu

    Ni historia nzuri na Asante kwa kutukumbusha

    Jibu

    makala nzuri

    Jibu

    Ilikuwa final ya kusisimua sana

    Jibu

    Ngoja nisubiri nione

    Jibu

    Nilikiwepo hapa #Meridianbettz

    Jibu

    Hiyo ndio kumbukizi ya kweli

    Jibu

    Habari mjema

    Jibu

    Mwandishi umeanza kutuletea za Kikorea sasa

    Jibu

    Gud news👍👍

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Nmekumbuka mbali san iyo gem ilichangamka san

    Jibu

    Nice update # meridianbettz

    Jibu

    Nimakara nzuri

    Jibu

    Allianz Arena palikuwa pamewaka moto

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridian

    Jibu

    Sitosahau hiyo fainali,mana namkumbuka mtu anayeitwa milito aliyetupia goli mbili.

    Jibu

    Nakumbuka drogba alikuwa nyota wa mchezo. Ilikiwa fainal ya kishujaa

    Jibu

    hii ilkua ni mechi kali sana, maana ilivokua na matukio ilisisimua sana

    Jibu

    hii mechi wajerumani hawawezi kumsahau didier drogba kwa alivyowafanya

    Jibu

    Ni historia nzuri sana

    Jibu

    Makala nzuri sana inatukumbusha mbal sana wapenda soka na burudani

    Jibu

    Hatuwezi kuisahau hiyo siku

    Jibu

    Hii makala imetulia sana, tunasubiri muendelezo

    Jibu

    Mechi ilikuwa ya kibabe

    Jibu

    Iyo fainali ulikuwa poa Sana tunausubiri muendelezo wake

    Jibu

    Hii mechi ilikuwa hatari sana drogba alikuwa anacheza katika kiwango kizuri sana

    Jibu

    Imebaki storia. Mambo mazuri tunayakumbuka

    Jibu

    Dunia ilisimama kuangalia huu mchuano ilikua noma sana

    Jibu

    Mechi ulikuwa kali sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.