Simba Vs Yanga, Joto Latanda Mjini!

Zikiwa zimesalia saa chache tu kabla ya ule mchezo wa kukata na shoka kati ya watani wa jadi wa ligi kuu ya Tanzania, Simba vs Yanga, hali ya shahuku, tambwe na kimuhemuhe zimezidi kutanda kuelekea mchezo huo.

Julai 3 ndo imeshafika na ile mechi ya kukata na shoka iliyoahirishwa itachezwa kesho katika dimba la Mkapa.

Simba watakuwa wenyeji wa mchezo huu wa raundi ya pili wa ligi kuu bara. Ukubwa wa mechi hii unaletwa na ukweli kuwa endapo wekundu wa msimbazi watashinda mechi hiyo basi watatangazwa mabingwa wa ligi hiyo kwa mara ya nne mfulululizo.

Katika mahojiano ya mwisho na waandishi wa habari kabla ya mchezo, makocha na manahodha wa timu zote mbili walizungumza na kila mmoja akieleza kuwa upande wake umejiandaa vyema.

Kocha msaidizi wa Simba SC, Suleiman Matolla alieleza kuwa timu yake inaheshima Derby hii na imejiandaa vizuri kuelekea mchezo huo. Nahodha msaidizi pia Zimbwe Jr, pia alieleza kuwa kila mchezaji yupo tayari kujitoa kwa ajili ya mchezo huo na watashinda.

Kwa Upande wa Yanga SC, kipa wa makipa wa timu hiyo alidai kuwa timu yake imejiandaa vizuri kuelekea mchezo huo, huku Ninja akieleza kuwa amewasoma wapinzani wake na kama wachezaji watahakikisha Simba haishindi kesho pale kwa mkapa.


KUSANYA PESA HAPA!

IcyGems kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet. Ndio, ukiwa kwenye nyumba ya mabingwa, ndipo utakapoufurahia ubora wa Kasino ya Mtandaoni sambamba na kushinda kwa ushindi mkubwa! Ishi na hii, IcyGems!Meridianbet

INGIA MCHEZONI

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.