Mlinzi wa Lille – Gabriel Magalhaes anategemewa kuchagua timu atakayoitumikia kuanzia msimu wa 2020/21 ambapo mpaka sasa ni timu 2 – Arsenal na Napoli ndio zimewasilisha ofa zao za usajili.
Baada ya kuwa na msimu mzuri kunako Ligue 1, nyota imemuwakia Gabriel na sasa uwezekano wa kucheza EPL au Serie A upo mikononi mwake. Taarifa za chini chini zinasema uwezekano wa kwenda Arsenal ni mkubwa kuliko Napoli.
Akizungumza na talkSPORT baada ya kuulizwa kuhusu ofa ya Arsenal, Napoli na Manchester United, Raisi wa Lille – Lopez amesema ” kunahizo na nyingine nyingi.Nadhani amezipunguza.
“Nadhani ni sahihi tukisema Arsenal wameonesha nia zaidi, Napoli pia.
“Tumempatia muda wa kutosha kufanya maamuzi. Tumekuwa tukisema kila mara ‘kama tukiwa na makubaliano sawa na timu 2 au 3, basi hatutokuwa na ushindani wa ofa’.
“Na huo ni uamuzi, sidhani kama ninakata tamaa mapema nikisema huo uamuzi ni leo au kesho. Nashindwa kuwaambia uamuzi huo ni upi. Tumempatia mapendekezo kadhaa lakini hatutaki kuyasema hadharani, hatutaki kumfanya mtu ajisikie vibaya.
Je, Gabriel Ataenda Arsenal au Napoli?
“Tumezungumza kuhusu wapi anapaswa kwenda, lakini mwisho wa siku ni yeye na mazingira yake ndio vitaamua na tutakubaliana na hilo.”
Inasemekana Lille wamepokea ofa ya takribani euro milioni 24 na wanategemea Gabriel atafanya maamuzi sahihi ndani ya muda mfupi na mpaka sasa hayupo kwenye kikosi cha Lille kinachojiandaa na msimu ujao.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


Povel
Wahenge walisemah kipendacho roho hura nyama ndichi ngoj tuone fundiiii wa mpr Gabriel atachagua chama gan gunners au Napoli
Amiri Kayera
Uamuzi ni wake
Revina
Uhamuzi anao yeye ,na vilevile hatskuwa amepiga hatua kwenda sehemu nyingine anakuwa anaongezea na ujuzi zaidi kujifunza zaidi
Theonestina
Maamuzi yake
Sabrina
Gabriel aende Arsanal bhana
Janeflora malisa
Uwamuz ni wake
Latifa juma mohamed
Hata wa kale walinena kila ndege hutua mti aupendao, lakini mwisho wa siku ni yeye na mazingira yake nyota Gabriel ndio vitaamua na tutakubaliana na hilo.”
David Pere
Na huo ni uamuzi, sidhani kama ninakata tamaa mapema nikisema huo uamuzi ni leo au kesho. Nashindwa kuwaambia uamuzi huo ni upi. Tumempatia mapendekezo kadhaa lakini hatutaki kuyasema hadharani, hatutaki kumfanya mtu ajisikie vibaya.
Mwanahamisi
Uamuzi ni wake
Fatuma kasomo
Uamuzi anao yeye
Shan
Mahamuzi ni yake!
warda
Aende tu Napoli#Meridianbettz
Ernest
Uingereza inaaminika soka lake linamvuto sana lakini binafsi sijaona bado, Kwa hoja hii moja kwa moja kijana Gabriel atachagua Arsenal
Sauda
Ni uamuzi wake tu
Ester jackson
Aende arsenal mana ni timu kubwa histoshe kama atafanya vizuri kwenye klabu hiyo anaweza kwenda timu kubwa zaidi ila maamuzi ni yake
rama
Maoni:nivyema akaenda kukipiga EPL
Mwajumah
Uwamuzi ni wake
Dorophina
Gabriel chaguo lipo kwake wapi haende ila kwa mtazamo wangu kama arsenal patamfaa
felister
Gabriel lazima ataenda arsenal
Khadija
Uamuzi ni wake
Adelta
Maamuzi Ni yake
@meridianbettz
Zeiyana
Arsenal ndio kutamfaa zaidi.ila yeye mwenyew ndio hana maamuzi yake
Magdalena
aende arsenal patamfaa zaidi
Fatina mfingi
Mmmh
Lydia Emmanuel Magoti
Uwamuzi niwake anapo pendekeza yeye kwenda ndio atapo kwenda yeye anajua anacho kifanya kwenye akili yake
Tatu
Gabriel mwenyewe ndio atachagua pa kwenda msimu huu
Samira
Gabriel mwenyewe ndio atachagua mahali wapi patamfaa ila bora aende arsenal
Sadick
Mwenye kisu kikali ndiye anayekula nyama, hapa Arsenal wanaonyesha kuwa na kisu kikali zaidi watia nia wote#meridianbettz
Gabriel
EPL ndo ligi pendwa dunian me sidhan kama Kuna chaguo hapo zaid ya arsenal
Samiah
Mmh
Hope mwaikuka
As long as its ok to him
Furahav
Aende tu Arsenal.
Issa
Napoli ndio sehemu ya kukuza soka lako
Shafii
Mmi ningemshauri atimkie arsenal atapata nafasi ya kucheza.
Omary lukumbi
Aende napoli
aisha
Uamuzi ni wa kwake yeye mwenyewe