Klabu ya Arsenal imeingia kwenye rada za kumsajili beki wa kulia wa Inter Milan, Hakimi Achraf wakitaka kutumia uchochoro wa mgogoro unaoikumba klabu hiyo.
Kulingana na Telegraph, Arsenal wanataka kumsajili beki wa pembeni wa Inter Milan, Achraf Hakimi kama mbadala wa Hector Bellerin, ambaye ametajwa kuwa yuko nje ya London msimu huu wa joto.

Hakimi, 22, ni mdogo kwa miaka mitatu kuliko Bellerin na anacheza kwa kiwango cha juu sana nchini Italia, akifunga mabao sita na kuandika assist nne katika Serie A msimu huu.
Uwezo wake wa kushambulia ungewapa Gunners chaguzi kadhaa za jinsi ya kumpeleka, ingawa Bellerin akiondoka, angeweza kuanza katika kampeni ijayo ya ulinzi.
Ni Burudani Iliyokithiri na Mkwanja Nje Nje Katika Mchezo Halisi wa Chicago Gold.
Fanikisha malengo yako bila kuumiza kichwa, tengeneza mkwanja bila wasiwasi na kasino ya Meridianbet. Jiunge sasa Ufurahie Chicago Gold kasino.



Caroline
Anaweza
warda
Wakimchukua hakimu watakuwa wamezidi kujiimarisha
Venerose
Ni sawa tu
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri tuu
Hopemwaikuka
Fresh tu
Sarah
Ni sawa tu
Issa
Arteta ni safi kwa hili