Ishu ya Morrison Zege Limelala Tena

Mwenyekiti wa Kamatiya Hadhi ya Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF), Elias Mwanjala amesema kesi ya Bernard Morrison itaendelea kuskilizwa kesho.

Kiungo wa Yanga, Morrison alikuwa na mvutano mkubwa na klabu ya yake kuhusu sakata la mkataba ambapo yeye anadai kwamba ana dili la miezi sita ambalo limekwisha huku Yanga ikieleza kuwa ana dili la miaka miwili.
Sakata lake leo ni siku ya pili ambapo lilianza kusikilizwa jana, Agosti 10 na leo Agosti 11 pia limeskilizwa na hakuna majibu ambayo yametolewa.
Mwanjala amesema kuwa kuna document  moja haijakamilika kwa pande zote mbili ya Yanga na Morrison  na pande zote zimesema jioni ya leo watazileta.
“Kuna nyaraka ambazo hazijakamilika kwa pande zote mbili, moja ya Yanga na moja ya Morrison jambo ambalo limefanya tushindwe kutoa maamuzi.
“Kesho zitakabidhiwa kwa kamati ambapo kikao kitaanza kesho saa 4 asubuhi kufikia saa saba na nusu kesho kikao kitakuwa kimekwisha na watatoa maamuzi juu ya kesi hiyo.”
Morrison Agosti 8 kesi yake ikiwa bado haijatolewa hukumu alitambulishwa na watani wa jadi Simba huku ikielezwa kuwa amesaini kandarasi ya miaka miwili jambo linaloongeza mvutano wa uhalali wake.

Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

soma zaidi

35 Komentara

    Hapa Elias mwanjala anashindwa kusema kwel maana hili swala maamuz ni Jambo rahisi sana maana uwez ukamchukua mfanyakaz toka labda singida kwa dhamana ya wazaz wa huyo mfanyakaz alafu akafanye Kaz pengne kwa tamaa zake tu hapo swali akipata tatizo litakuwa la nan? Kwa upande wa Morrison huyo n Mali ya yanga ata akafanye vip bado anamkataba wa dhamana ya migration kutoka yanga kwahiyo tatizo lolote likitokea lazma atahusika yanga japo amesain Simba cha msingi arudishwe kwao tu au Simba wavunje mikataba yote ya dhamana ya makaz ambayo alisain ndan ya miaka miwili maana hapa TFF lazma waje kuulizwa kwann uliamua kukubal kumsainsha mchezaj bila kufuata utaratibu maana TFF n wazembe hawako Makin

    Jibu

    Wadau wa soka tunasubili maamuzi yatakayo tolewa na uongozi tujue ni mchezaji wa club gani.

    Jibu

    Ngoj tusubir kesho hyo

    Jibu

    Wadau tunasubir majibu yanayotolewa

    Jibu

    Tanzania mpira bado sana

    Jibu

    Tusibili tuone

    Jibu

    Morrison anazingua wampige chini arudi kwao kabisa

    Jibu

    Tanzania mpira bado sana#meridianbettz

    Jibu

    Morrison kazingua tu kuikweli siku zote mtu hauwezi kumzarau boss wako aliyekutoa kwenu akakuleta mjini hinaonekana hiyo ndio tabia yake kama ni vipi harudushwe kwao tu hapeleke mbele zarau zake

    Jibu

    Ngoja tusubili kesho iyo#Meridianbettz

    Jibu

    Kumekuwa na tatizo kwenye eneo hili hapa nchini la viongozi na wachezaji kutokuwa na mikataba ya wazi hivyo kupelekea kutohemiwa#meridianbettz

    Jibu

    Si watoe tu hukumu ya iyo kesi.mara leo Mara kesho.mbona hatuwaelewi

    Jibu

    wadau wa soka wasubiri waone mamuzi yatakayotolewa

    Jibu

    TFF wanatuchanya watoe maamuzi watu wakeww Kama nini kinaendelea

    Jibu

    Mpira wetu wa bongo na viongozi wa vilabu hii vikubwa viwili hawajielewi kabisa wanachotakiwa kufanya kushindani kimataifa na sio wao kwa wao hii inshu ya morrision hahaha sijui maana wanaleteana uwasama tu

    Jibu

    Tupo makini na swala hili tunasubili majibu ili tufahamu atakuwa club gani

    Jibu

    Bongo ujanja ujanja mwingi sanaaa kwa kifupi nachukia mfumo wote kwa ujumla unaotumika

    Jibu

    Huu mchezo awitaji hasira tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini ishu ya merrison sio ya kitoto

    Jibu

    Hatari aende kwao mana hakuna mtoto anaye mzidi mzazi wake aliye mleta duniani

    Jibu

    Goja tuona iyo kesho itakuwaje

    Jibu

    Tunasubiri mwisho wa hili

    Jibu

    Mmmmh kazi kweli kwelii

    Jibu

    Tff wao ndio watutegulie hiki kitendawili

    Jibu

    Inapaswa tuwe wavumilivu tusubili maamuzi kutoka kwenye uwongozi.

    Jibu

    Kipindi cha usajili bongo kinanoga sana kuliko ligi! Ngoja tusubiri na tuone nini hatima yake

    Jibu

    Morrison kayakanyaga

    Jibu

    Ngoja tuone

    Jibu

    Muafaka lazma upatikane.tunangojea matokeo

    Jibu

    Duuuh hatar

    Jibu

    Yanga itakuja kuumbuka mwisho wa siku, Morrison kama Proffesional player hawezi kuact kama hivi pasipo sababu ya msingi

    Jibu

    Daah majanga.

    Jibu

    morrison alikuwa na uhakika wa kitu ambacho alikifanya hakukurupuka

    Jibu

    Huyu Morrison kama analazimishwa kucheza yanga ila sio mpenzi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.