Aliyekuwa kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera ametambulishwa rasmi ndani ya klabu ya Gwambina FC yenye maskani yake Misungwi mkoani Mwanza.

Usajili wa mwaka huu umeonekana kuwa na msisimko mkubwa hali inayopelekea baadhi ya mashabiki kufurahishwa na kile kinachoendelea katika sajili hizi.
Wakati wa safari yao ya kuelekea Ligi Kuu Gwambina FC ilifanikiwa kutoa Mchezaji Bora wa ligi daraja la kwanza (FDL), Masawe Jacob na kutwaa tuzo.

Lakini pia kikosi chao kilifanikiwa kupata mfungaji Bora namba mbili ambaye alikuwa kijana Masawe Jacob baada ya kutupia kambani jumla ya magoli 10, kwenye mechi 22 alizocheza akizidiwa goli moja pekee mfungaji bora.
Ujio wa kocha bora kabisa Mwinyi Zahera itakuwa chachu na pengine kuleta hamasa na mafanikio ndani ya kikosi hiko cha vijana hao wa Misungwi, Mwanza?
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.


Shafii
Mwinyi zahera mzee wa boo ni kocha mzuri atakua msaada kwao.
Sabrina
Hongera yake mwinyi Zahera akaiongoze vyema Gwambina iwe timu yenye mafanikio
Gabriel
Yuko vzur
Povel
Kila la kheri papa mutu ya watu ZAHERA
Adelta
Zahera Ni kocha mzuri atafanya kazi yake inavyo stahili @meridianbettz
Saupha mohamed
Kocha mzuri sana
Dorophina
Zahera atawasaidia sana wana mwanza atafanya majukumu yake vizuri tu kuisaidia timu aliyochaguliwa
Fatina mfingi
Ni kocha mzur na anajua nn anafanya!!
Khadija
ni kocha mzuli sana#meridianbettz
Sadick
Ni mtu mkweli sana nadhani wakati fulani hilo humuweka kwenye wakati mgumu na viongozi,kila la kheri mtu ya Congo#meridianbettz
Mwajumah
Ni kocha mzuri sana #Meridianbettz
Zeiyana
Kocha makini sana mwinyi zahera muache akafanye yake gwambina kila kheri
felister
ni kocha mzuri sana atakua msaada kwao
Caroline
Mwinyi zahera Sina Imani na ukocha wake.alituangusha Sana Wana yanga
David Pere
Safi sanaa madhani wengi wataanza kuishangilia gwanbina maana italeta mapinduzi ya mpira Tanzania
Njiku
Yupo poa sana mwinyi na atafanya makubwa na timu hiyo kutoka mwanza
aisha
Hongera sana unachotakiwa nenda kapige kazi
Tatu
Kocha mzuri sana huyo
Ester jackson
Kocha mzuri sana nafikiri atawasaidia sana
Zuhura omary kindamba
Kocha mzuri sana uyu
Rehema
Namkubali Sana
Salma ngende
Kocha mzuri
Neema
Kochaa yuko fitiii ilee sana
Leonard
Zahera tena tusubili ili tuone
Nasra
Jambo zuri Sana kwa Wana gwambina mwinyi Ni kocha mzuri Sana.
Devotha
Gwambina watakua vizuri sana sababu zahera ni kocha mzuri
Shan
Yuko sawa!
Theonestina
Maisha popote.piga kazi mwinyi zahera
Rose kapinga
Kocha hodar xana!!!!!
Ernest
Kila la kheri ZAHERA kwenye maisha yako mapya na Gwambina Fc
Furahav
Zahera ni kocha mzuri sana.
magdalena
kila la kheri zahera nina imani timu itanyanyuka sana kwa juhudi zako
warda
Zahera Anaipenda sana Tanzania naona itakuwa furaha kwake
Issa
Zahera safi sana