Pambano la masumbwi lililokuwa likisubiriwa na watu kati ya Jose Pedraza (27-3, 13 KO’s) 143.9 lbs na Mikkel LesPierre (22-2-1, 10 KO’s) 143.5 lbs , limefanyika leo alfajiri baada ya kuhairishwa kwa wiki mbili.
Mchezo huo ulipangwa kufanyika mwezi wa sita tarehe 18, lakini baadae ulihairishwa baada ya kocha wa Mikkel LesPierre kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona.
Pambano hilo lililofanyika leo Alfajiri katika ukumbi wa MGM-Grand Ballroom katika jiji la Las Vegas, Nevada. Limeshuhudiwa Jose akitwaa ushindi wa alama baada ya kupigana kwa mizunguko 10.
Mchezo ulianza kwa Pedraza kumrushia mkonde mazito kichwani, lakimi mengi yaliishia mwilini na kufanya LesPierre aweze kumaliza mzunguko wa kwanza.
Ni dhahiri katika mzunguko wa tano LesPierre alizidiwa, na kufanya kazi kuwa rahisi kwa Jose Pedraza.
Katika mzunguko wa mwisho, Pedraza alimakiza kwa miguso ya mwisho na kumdondosha, lakini LesPierre aliinuka na kupambana mpaka mwisho wa pambano.
Lakini jiihada zake, hazikuzaa matunda na majaji walimkabidhi ushindi Pedraza kwa alama 100-88 na majaji wawili walitoa alama 99-89.
lombo
jose yuko vzur mambo moto na masumbwi
Antony Luseno
Lilikuwa bonge la pambano na hongera kwa Pedraza
Fatina mfingi
Asanteh kwa taarifa
Magdalena
Pambano lilikuwa matata sana wote walikuwa na mchuano mkali
Flomena
Pambano lilikuwa la kukata na shoka
Hamidu
Asante kwa taarifa#meridianbettz
Dorophina
Asante kwa makala nzuri
Theckla
Pambano lilikuwa kali sana
Ester jackson
Asante kwa habari njema
isha
Pambano lilikua sio la kitoto ngumi jiwe
Mwanahamisi
Pambano la kusisimua
Revina
Jose Pedraza sio bondia wa mchezo mchezo ,kwa mpambano ule hasingeacha kupasua ,ulikuwa mkali sana
Genia Sikaluzwe
Ahsant meridian kwa taarifa
Khadija
Jose yupo vzr#meridianbettz
felister
pambano lilikua kali sana
farida ahmadi
Hongera Sana Jose pedreza
Sadick
Kwa mashabiki tusiofahamu vema sheria za ndondi ushindi wa points huleta ukakasi, huvutia pale Bondia anashinda kwa TKO AU KO#meridianbettz
Issa
Jose ngumi jiwe
Gabriel
Hili pambano halikuwa na haki kabisa maana ukiangalia vzur tunaona Jose pedraza alikuwa anashambuliwa sana na Mikel les Pierre sana
Natukiangalia kiwango cha les Pierre n kikubwa mno kulingana na Jose pedraza
Kwan mikkel les Pierre natambua uwezo wake tokea mwaka 2016 ilikuwa n
tarehe 17-4-2016 ambapo alipompiga Rafael Contreras kwa TKO katika mashindano ya USA boxing ilikuwa n professional fight pia alirudiana nae na kumpiga tena na mwaka uliofuata alipambana na Mario beltre ambaye ananajulikana kwa kuwepata na kurusha mwaka 2017 alimpiga kwa TKO
Tarehe 17-11-2018 alikutana na Wilton Montero katika professional fight uwanja wa broklny casino in Verona na kumpiga kwa TKO ndipo kukutana na Noel Murphy chin ya promota Lou dibella kwa wapenda ngumi tunamtambua kwa kuaandaa michuano mingi sana
Hivyo basi ntapenda pambano lirudiwe kwa haki kabisa
# Gabriel
Mariam mtandama
Asante meridianbet#
Johnmary joel
Pongezi kwake#meridianbett
Caroline
Pambano lilikua kali
Njiku
Yupo poa sana pedraza alistahili ushindi huo
Shafii
Alistahili ushindi inaonekana alijiandaa vyema kwa ajili ya pambano pongezi Sana kwake
warda
Nilijua tu Jose Atashinda#Meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Lili kuwa bonge rapambano
Ernest
Mambo ya ngumi jiwe hayooo
Hope mwaikuka
Jose katshaa
nasra
Pambano Kali Sana hili
fatumakasom
Pambano si lakitoto
Furahav
Jose anatisha,hongera sana.
Tahiya
Lilikuwa nj pambano nzur sana kuliona kulinganisha na mapambano niliyowai kutazama round 10 za kibabe
Rehema
Pambano la kibabe
Samiah
Lakibabe pambano
Winfrida
Lazima apasuke mtu
Isaya massawe
Pambano lilikua hatari
Salma
Makala nzuri
Saupha mohamed
Pambano kalii
Omary lukumbi
Duu hiyo ilikua zaid ya masumbwi kuta nikuvute wanaume kazini
Jane Michael
Pambano la maana
David Pere
Safi Sana maana jamaa Alikuwa anajigamba Sana kuwa hakuna bondia anaheweza kumpiga ,Sasa kayakanyaga, Sasa atakuwa na heshima
Latifa juma mohamed
Pambano lilikuwa Moto Sana mmoja alionekana akimshambulia mwezie ipasavyo.
Amani
Tarehe 17-11-2018 alikutana na Wilton Montero katika professional fight uwanja wa broklny casino in Verona na kumpiga kwa TKO ndipo kukutana na Noel Murphy chin ya promota Lou dibella kwa wapenda ngumi tunamtambua kwa kuaandaa michuano mingi sana
Hivyo basi ntapenda pambano lirudiwe kwa haki kabisa bila kuwa na upendeleo #meridianbettz
Tatu
Pambano kali sana
Zeiyana
Ilikua pambano Kali sana kwa hawa watu walukua wanatambiana sana sas mzizi wa fitina umeisha
Aziza mushi
Lilikuwa bonge la pambano.
Povel
Jose ngumi jiwe
Neema juma
Pambano la kibabee hilo
Rehema Dickson
kumpiga kwa TKO ndipo kukutana na Noel Murphy chin ya promota Lou dibella kwa wapenda ngumi tunamtambua kwa kuaandaa michuano mingi sana
Hivyo basi ntapenda pambano lirudiwe kwa haki kabisa
Amiri Kayera
Hakika pambano lilikua la kukamiana
Devotha
Asante kwa taarifa
Sabrina
Maoni:Duuuh bonge la pambano!
Theonestina
Hongera jose
Angelina
Good update