Juventus wametangaza kukamilisha dili la kumsajili kinda Abdoulaye Dabo ambaye anaungana na kikosi cha vijana U23 cha Juventus.
Winga huyu ambaye ni raia wa Ufaransa amekamilisha uhamisho wake wa mkopo, na mkataba wake pia unahusisha kipengele cha kumnunua, kama ilivyothibitishwa na Juventus, miamba wa Serie A.

Kinda huyu amejijengea umaarufu ufaransa akitambulika zaidi kama nyota chipukizi kwenye tasnia ya soka la Ufaransa, sasa ameingia kwenye soka la Italia, bila shaka atawashawishi mashabiki wa soka la Italia kumpenda kwa kazi nzuri.
Dabo alikuwa mbioni kukamilisha usajili na Juventus wakati Claudio Ranieri alipokuwa kocha wa Nantes 2017, lakini meneja huyu wa sasa wa Sampodoria alikwamisha uhamisho wa nyota huyu ambaye alisaini mkataba wake wa kwanza wa soka lake la kulipwa na klabu hiyo ya Ligue 1.
Dabo alikamilisha vipimo na mabingwa wa Serie A Jumatatu na akawa anasubiria kutangazwa rasmi. Sasa Juve wamemtangaza rasmi kupitia ukurasa wao wa vijana wa twitter.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??



Shakila mrope
Safi san
Sania
Itabamba hiyo
Sadick
Ufaransa ina hazina kubwa ya wachezaji chipukizi ambao watakuja kutamba mno baadaye
Caroline
All the best Dabo
Rahmal
Safi sana
Dorophina
Karibu juve dabo kila lakheri
Magdalena
Safi Sana juve
Saupha mohamed
Nice
Mwanahamisi
Safi sana
Issa
Davos atakiwasha
felister
kila la kheri
Lydia Emmanuel Magoti
Safii sana
Hopemwaikuka
Mkaka nmempenda bure hongera zake
Sarah
Safii
warda
Dogo namkubali sana