1. Robert Lewandowski (Bayern Munich)
Nani anabisha? Lewandowski ndiye straika bora kabisa duniani kwa sasa. Supastaa huyo wa Poland ameweka rekodi ya kibabe kabisa kwenye kikosi cha Bayern Munich, akifunga mabao 41 ndani ya msimu mmoja tu wa ligi, huku akiwa amecheza mechi 29. Ndiye mshambuliaji wa kati anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Ballon d’Or 2021.
2. Harry Kane (Tottenham Hotspur)
Harry Kane amethibitisha msimu huu kwamba ni mshambuliaji wa kati aliyekamilika. Straika huyo, ambaye pia ni nahodha wa timu ya taifa ya England, ameibeba Spurs akifunga mabao 23 yaliyomfanya ashinde Kiatu cha Dhahabu kwenye ligi na kuasisti mara 14, ambapo alibeba tuzo pia. Ametangaza anatafuta timu mpya msimu ujao.
Itaendelea…
BONASI YA 50% KILA SIKU KATIKA KASINO ZA EVOPLAY HAPA MERIDIANBET.
Meridianbet na Evoplay Kasino wanakupa bonasi ya 50% ya kiasi utakachoweka katika akaunti yako leo. Unasubiri nini ni wakati wa kupiga pesa sasa na Mabingwa.
Vizuri