Kocha wa FC Platinum Aingia Bongo na Mkwara

Kocha Mkuu wa Klabu ya FC Platinum Norman Mapeza amesema kuwa anawatambua wapinzani wake Simba vizuri hawampi presha atawasumbua ndani ya uwanja na kupata matokeo.

FC Platinum wametia timu leo Januari 2, Dar es Salaam na kupokelewa na uongozi wa timu hiyo ambao uliwahi mapema kuweka kambi ndani ya jiji la Dar es Salaam.

Kwenye mapokezi ya leo hakukuwa na mashabiki waliojitokeza wakiwa na jezi za rangi yoyote tofauti na mapokezi ya timu ya Plateua United.

Akizungumza na Saleh Jembe, Mapeza amesema kuwa wachezaji wapo vizuri na wanaamini watalinda ushindi na kupata ushindi ugenini.

“Tumekuja kwa kazi moja ya kutafuta ushindi hakuna jambo jingine ambalo tunahitaji hivyo wapinzani wetu wajiandae kisaikolojia tunawatambua, tunawaheshimu ila hatuwaogopi,” amesema.

Mchezo wa kwanza uliopita FC Platinum ilishinda bao 1-0 dhidi ya Simba Januari 6,Uwanja wa Mkapa ikiwa itashinda ama itapata sare inapenya hatua ya makundi.

Simba inatakiwa ishinde mabao zaidi ya mawili ili iweze kusonga hatua ya makundi.


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?

SOMA ZAIDI

18 Komentara

    Mashabiki tunamkaribisha Sana tunasubiri tuone maajabu yake

    Jibu

    Akae kwa kutulia

    Jibu

    Yani asiwe na haraka

    Jibu

    Tunasubilia iyo siku tuone maajabu yake

    Jibu

    Tunangojea kwa hamu

    Jibu

    Maajabu tunayasubiriaaa

    Jibu

    Tunasubili kwa hamu

    Jibu

    Tunamkaribisha sana

    Jibu

    Atajua ajui

    Jibu

    Tunasubili mahajabu yafanyike sio maneno tunataka vitendo

    Jibu

    Hana maajabu

    Jibu

    Tunasubiri kuona maajabu yake

    Jibu

    Sijui itakuwaje hiyo tar. 6 ila naiombea sana Simba ushindi wa nguvu

    Jibu

    Majabu akuna tunangojea tuone

    Jibu

    Ngoja tuone

    Jibu

    Tunataka tuone vitendo

    Jibu

    Watakalishwa

    Jibu

    nasubiri nijionee

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.