Kocha wa Barcelona, Ronard Koeman amemtaja Di Maria kama hanaheshima hii ni baada ya kusema anaimani Lionel Messi ataungana nae PSG.
Messi anamaliza mkataba wake ndani ya Barcelona mwisho mwa msimu huu na kumekuwa na hali ya sintofahamu kuhusu hatma yake baada ya mkataba huu.
PSG watapambana na Barcelona kwenye hatua ya 16 bora kwenye Ligi ya Mabingwa – UEFA, Februari 16 mwaka huu.

“Ndio ndio, ninaamini hivyo. Kuna uwezekano mkubwa. Tunapaswa kuwa watulivu wakati huu ambapo mambo mengi yanaendelea.” Alisema Di Maria baada ya kuulizwa kama Messi ataungana nae Paris.
“Sio sawa kuongea kitu kama hicho, hasa wakati huu ambao tunakutana kwenye Ligi ya Mabingwa.
“Ninadhani sio sawa na ni kukoseana heshima, kumuongelea mchezaji mmoja ambaye bado ni mchezaji wa Barcelona.” Alisema Koeman kuhusu alichokisema Di Maria.
Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.



Adelta
Inabidi Di Maria apewe adhabu ili iwe fundisho kwa wachezaji wengine
Sania
Mhh Di Maria karikoroga
Magdalena
Ngoja tuone mwenyewe Messi maamuzi yake ni yapi
Ernest Kimeru
Di Maria hajakosea kitu chochote
Caroline
Mi naona uyo Messi wamuache aende anapopataka
Lydia Emmanuel Magoti
Di malia kazi anayo
Dorophina
Messi ndie mwenye maamuzi tusubilie mkataba wake utakapoisha
David Pere
Inabidi Di Maria apewe adhabu ili iwe fundisho kwa wachezaji wengine
Issa
Bora asep barca kutulie
Hopemwaikuka
🤔🤔
warda
waungane tu